Michelle98
JF-Expert Member
- Aug 8, 2021
- 673
- 2,064
hiz znaitwa sfa za kijinga, lkn kaa ukijua dawa yako iko jikon inachemka sku s nyng utavuna ulichopanda.........
Mwaka unaisha ukiwa huna hata majukumu unawaza ngono tuWakuu kwema?
Mimi nikianzisha mahusiano na mwanamke ni ngumu sana kuniacha yaani mpaka nawaoneaga huruma kabisa wakati mwingine maana kuna wengine wanakuambia mimi sibabaishwi na mwanaume alafu mwisho wa siku anakua mnyonge sana kama Sio yeye vile.
Wakuu kwema?
Mimi nikianzisha mahusiano na mwanamke ni ngumu sana kuniacha yaani mpaka nawaoneaga huruma kabisa wakati mwingine maana kuna wengine wanakuambia mimi sibabaishwi na mwanaume alafu mwisho wa siku anakua myonge sana kama Sio yeye vile.
naacha sahivi honey🙃
Hakuna kitu kama hicho mamahiz znaitwa sfa za kijinga, lkn kaa ukijua dawa yako iko jikon inachemka sku s nyng utavuna ulichopanda.........
Hakuna kitu kama hicho mama
Sijui karma ..yaani watu wawili wapo kwenye uhusiano kwa maana wanafanya zinaa mmoja anaumizwa au anaachwa maksudi eti upate laana