Mwanamke akikuomba pesa siku ya kwanza ya kukutana kwenu jua hakupendi

Nina dukuduku na mambo mawili je ni kweli kuwa ukimuomba date tu siku ya kwanza anakuomba pesa hata ukimuuliza hawezi kukuambia anaifanyia nn cha maana
Na pili mwanaume mpaka aonekane fala kiasi cha kutomtunuku wakati anahudumiwa na huyo fala naomba ufafanuzi juu ya haya
 
Kmmk apaa Kuna demu mekutana nae Jana nye..ge nye...ge zangu si memuelekeza tuonane akasma Hana nauli mjuba nikatuma mida ya saa 5 na demu ajaja mpaka saizi sema fresh tu demu mkari Alie nipiga
Umekosea kumtumia ilibid umwambie aje akifika utampa na io ndio fprmula yao mtu akiwatumia pesa ya naul hawaji
 
Mwanamke Kuomba pesa siku ya kwanza ni sawa na Mwanaume kuomba sex siku ya kwanza.

Ndio maana kwenye kusawazisha hili,
Wote wanaokutana siku ya kwanza na kulalalana huwa wanauziana huduma.
 
Nipo apa kuwatoa ujinga nyinyi wanaume mnaojifanya mna pesa yaan unakuta dume zima linajua na mwanamje first day denu anaanza njaa mara nina birthday.kuna mchango wa harusi .nimekopa nadaiwa nina shida ya sh fulani na mwanaume na akili timamu unatuma unajua anajuchukuliaje

JIBU : ANAKUONA BOYA NA HUJIELEWI

Mwanamke anapokuomba jua kakudharau na hana hofu ya kukupoteza hvo lolote litakalo tokea sawa tu leo unatuma na kesho unatuma tena kesho kutwa unamwambia NAKUPENDA anakujibu SIKUTAK

Akigundua kuwa unapesa nying ila akili hauna apa utapigwa mizinga ya maana ila papuchi atakupa ila akikuona fara sn hata papuch hakupi

Unampa pesa ya kusuka mwenzako anapendeza kisha anaenda kwa mwingine

NARUDIA TENA MWANAMKE ANAEKUPENDA HAWEZ KUKUOMBA PESA FIRST DAY
Nilivyo maliza tuu kuisoma hii Tred yako... Mamaaee... Nimeenda futa na ku'block namba ya mtu!... Niliyekutana naeee siku ya 1 na kuniomba elf 50 kisa anadaiwa.... PUMBAVUUUU...
 
Wee km huna pesa, kaa kwa kutulia tyuuh hakuna namna, ila wenye nazo acha wazitumie na ziwazoee. Khaaaaah
 
Back
Top Bottom