Diason David
JF-Expert Member
- Aug 2, 2018
- 7,562
- 7,348
Nina dukuduku na mambo mawili je ni kweli kuwa ukimuomba date tu siku ya kwanza anakuomba pesa hata ukimuuliza hawezi kukuambia anaifanyia nn cha maana
Na pili mwanaume mpaka aonekane fala kiasi cha kutomtunuku wakati anahudumiwa na huyo fala naomba ufafanuzi juu ya haya
Na pili mwanaume mpaka aonekane fala kiasi cha kutomtunuku wakati anahudumiwa na huyo fala naomba ufafanuzi juu ya haya