Mwanamke akifumania, kwanini asimpige mwanaume?

ndayilagije

JF-Expert Member
Nov 7, 2016
7,492
8,295
Amani ya Bwana iwe nanyi nyote.

Tafadhali nisaidieni hili, Mara nyingi sana au zote mwanamke akimfumania mume au mpenzi wake na mwanamke mwingine huwa hapatoshi. Watapigana,watakashifiana na hata kuuana wanaweza.

Kinachonisumbua ni kimoja tu,kwa nini asimpige yule mwanamume.? Unampiga mdada wa watu wakati hata hakujua kama huyo ni mumeo.Au mnawaogopa wanaume?
 
Wakikudunda wote unawatimua kwa hiyo lazima zichapwe atakaye shindwa ndio kajitoa huyo
 
Labda wake zenu.,mke wangu mie naomba asije nifumania.,, Kwa akili zake nnavyozijua atamuacha mchepuko aje kwangu. na tukianzaga kufurumushana huo ugomvi wake hata wanaume hawauwezagi kuamua.,, Then baada ya tukio hunivuta chumbani kunipa game bila kumwomba., cjui yukoje huyu...??
 
Amani ya Bwana iwe nanyi nyote.
Tafadhali nisaidieni hili, Mara nyingi sana au zote mwanamke akimfumania mume au mpenzi wake na mwanamke mwingine huwa hapatoshi. Watapigana,watakashifiana na hata kuuana wanaweza.
Kinachonisumbua ni kimoja tu,kwa nini asimpige yule mwanamume.? Unampiga mdada wa watu wakati hata hakujua kama huyo ni mumeo.Au mnawaogopa wanaume?
Hujiulizi kwann mwanaume akimfumania mke wake na njemba anaanza na njemba kana kwamba mwanamke hana makosa! Pakoje hapo tafakari kwann inakuwa hivo?
 
Tatizo huwa wanapata hasira kwamba huyu kanizidi nini mimi,Ila kwa mimi hata akinifumania kwa jinsi navyo kapenda haka katoto ka Kitanga hawezi kukagusa maana akijaribu nitamrapua yeye sasa.
06ef4402edca46a7ab1ddd4b89e5fdde.jpg
 
Think fast, act fast. Dunia inapenda people who think on their feet for solutions.
 
Labda wake zenu.,mke wangu mie naomba asije nifumania.,, Kwa akili zake nnavyozijua atamuacha mchepuko aje kwangu. na tukianzaga kufurumushana huo ugomvi wake hata wanaume hawauwezagi kuamua.,, Then baada ya tukio hunivuta chumbani kunipa game bila kumwomba., cjui yukoje huyu...??
Huyo ndo mtu.
 
Hujiulizi kwann mwanaume akimfumania mke wake na njemba anaanza na njemba kana kwamba mwanamke hana makosa! Pakoje hapo tafakari kwann inakuwa hivo?
Mkuu,ningejua ningeuliza? Labda kasema hana mume je.?
 
Labda wake zenu.,mke wangu mie naomba asije nifumania.,, Kwa akili zake nnavyozijua atamuacha mchepuko aje kwangu. na tukianzaga kufurumushana huo ugomvi wake hata wanaume hawauwezagi kuamua.,, Then baada ya tukio hunivuta chumbani kunipa game bila kumwomba., cjui yukoje huyu...??
Ndio yuko hivyo hivyo mzowee tu kwani hakuna binadamu aliyekamika.

Zidi tu kuomba asikifumanie kama usemavyo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom