Marahaba
Member
- Nov 23, 2010
- 33
- 1
Jamani naomba mnisaidie hili,mdada mmoja amepitiliza miezi mitatu bila kupata MP ,amekuwa na hofu sana mpaka akaamua kuujua ukweli,
Kwanza ametumia Litmus Paper kupima kama ni mjamzito na kwa indicator za Litmus Paper inamuonyesha mistari miwili ikimaanisha ni positive,anao ujauzito lakini
Pili akienda hospitali anaambiwa ni stress zake tu zinawezachelewesha MP na kwa jinsi vipimo vya hospitali vinasema hana ujauzito hii imekaaje wadau wa JF wenye uzoefu wa jambo hili?
Kwanza ametumia Litmus Paper kupima kama ni mjamzito na kwa indicator za Litmus Paper inamuonyesha mistari miwili ikimaanisha ni positive,anao ujauzito lakini
Pili akienda hospitali anaambiwa ni stress zake tu zinawezachelewesha MP na kwa jinsi vipimo vya hospitali vinasema hana ujauzito hii imekaaje wadau wa JF wenye uzoefu wa jambo hili?