Domy
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 4,700
- 1,084
Tukio hilo limetokea katika mji wa Songea muda mfupi uliopita ambapo Mwanamke mmoja amejifungua mtoto akiwa makaburini na kufanikiwa kujifungua salama lakini baada ya kujifungua mtoto huyo akiwa hai alichimba kaburi na kumzika mtoto huyo na kuweka alama ya msalaba juu.
kwa habari zaidi fuatilia taarifa za habari za ITV.
source: ITV
kwa habari zaidi fuatilia taarifa za habari za ITV.
source: ITV