Filipo
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 9,342
- 5,536
Baada ya kubeba mimba kwa miezi 11, hatimae jana, mwanamke huyo mkazi wa mkoani Mara amejifungua jiwe. Anasema tumbo lilikuwa likimuuma sana na alifurahi kupata uchungu akitegemea kupata mtoto wake wa kwanza. Mwenyekiti wa kijiji anachotoka mwanamke huyo amethibitisha kutokea kwa tukio hilo akisema ni kweli limetokea na mama huyo amejifungua jiwe la uzito wa robo kilo!
Source: Matukio - RFA.
Kweli dunia imekaribia ukingoni....!!?
Source: Matukio - RFA.
Kweli dunia imekaribia ukingoni....!!?