Econometrician
JF-Expert Member
- Oct 25, 2013
- 15,795
- 28,452
Bila shaka hizi likes utakuwa umepewa na wadada,kiufupi kwenye Uzi wa Jamaa hapo Hamna Mke.Hivi kabisa unapengea kamasi katika kitambaa halafu unataka mtoto wa watu afue huo uchafu wako?!
Mambo mengine ni kukosa akili, kukosa busara na kutokuwa na adabu kwa mpenzi wako. Kwanza kamasi huwa hatupengi kwenye leso, unatumia tissue, ukipenga unatupa.
Pili usipende kumfanya mwenza wako afanye vitu vya kipuuzi ili tu approve kuwa anakupenda wewe. Huo ni utoto na kukosa akili.
Siku Jamaa akiumwa kiasi cha kujinyea,ajiandae kuhudumiwa na ndugu zake.