Mwanamke agoma kufua kitambaa cha mkononi cha mmewe

Kwahiyo ulivyosimuliwa nawe ukasema ngoja niende jf nikawaulize solutions?
Je, akisoma mhusika si atakuona matter core?
 
Hakuna chepesi. Ni suala la kujitoa. Hushawahi fikiria what if mumeo kwa bahati mbaya akapata tatizo kuamka hawezi, yaani haja ndogo na kubwa zote hapo alipolala na wewe ndiye uliye naye utaweza msimamia?
What if mwanamke akipata tatizo kama hilo haja zote kitandani unafkri huyo mwanaume atabaki au ataweza kumsimamia vitu vingine wanaume wanakuza ambavyo havina msingi ukute mwanamke anamfanyia kila kitu kasoro hizo kamasi hayo mengine hamuoni mnaona hizo kamasi tu
 
What if mwanamke akipata tatizo kama hilo haja zote kitandani unafkri huyo mwanaume atabaki au ataweza kumsimamia vitu vingine wanaume wanakuza ambavyo havina msingi ukute mwanamke anamfanyia kila kitu kasoro hizo kamasi hayo mengine hamuoni mnaona hizo kamasi tu
Binafsi ukiwa mchumba/mke wangu halali yaani naweza fanya yote hayo. Kuna factors nyingi za kuzingatiwa na kuangaliwa japo kutokana na mada imeelezea moja wapo tu. Siyo kukuza ila tunaliangalia hili kwa upana na katika angle tofautitofauti.
 
Jaman mi nikimpenda mtu naweza hata mtawaza kabisa
Huwa sina kinyaa kwa mtu naempenda
Ila pia Kuna watu wana vinyaa tu si ni kawaida tu
 
Habari ndugu zangu,

Rafiki yangu kaja kuniomba ushauri ameenda kumtembelea mchumba wake jijini Dar es salaam .

Jamaa angu kafika kaugua mafua makali akawa anamekea kitambaa chake cha mkononi kamasi hali ambayo mchumba wake alimtamkia hatoweza kukifua hicho kitambaa atafua mwenyewe jamaa alimueleza sisi ni wapenzi unashindwaje kufua kitambaa changu cha mafua na unajua sisi tutaishi mda mrefu je siku mwenzio mtu kati yetu akijinyea kwa sababu ya ugonjwa itakuaje kitambaa cha mafua tu kinakutoa imani mwanamke alimjibu am sory bby ila sintoweza kukifua.

Wakuuu naombeni mnishauri nimshauri jamaa yangu kama huyu anastahili kuwa mke asante
Kwani hicho kitambaa bei gani? Si akitupe na kununua kingine au kufua kwani siku zote nani anamfulia?
 
Nyie mtakua bado watoto. Pumbavu kabisa. Hebu kuweni kuweni mlete mada za kueleweka. Eti hiki nacho ni kipimo cha kupata mke. Eeh kbobori cha varimu. Kiboo cha ndesie
 
Binafsi ukiwa mchumba/mke wangu halali yaani naweza fanya yote hayo. Kuna factors nyingi za kuzingatiwa na kuangaliwa japo kutokana na mada imeelezea moja wapo tu. Siyo kukuza ila tunaliangalia hili kwa upana na katika angle tofautitofauti.
Wanaume hawana moyo wa kuvumilia na uhakika angekua huyo dada anaumwa sizan kama hii mada ata ingeletwa jukwaani ila kwa sababu ni mwanaume.....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom