Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 27,996
- 44,822
Hivi Archie Hawezi kuwa na title kabisa?!
Even Lord?!
Archie ni wa 7 katika throne kama atafikisha miaka 300 labda
Ila yuko kwenye line
Sent from my iPhone using Tapatalk
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi Archie Hawezi kuwa na title kabisa?!
Even Lord?!
Hao watu Buckingham palace wanawakilisha my presenceNilipita jumanne iliyopita Buckingham palace umati ulikuwa hapo naona na wewe ulikuwapo kindoto
Ila umejua huyu Meghan alikanywa na officials wa RF lakini akasema nimekufa nimeoza kwa Harry
Lakini ni kivuruge haswa
Na Queen ni strict sana na sheria lazima zifuatwe
Sent from my iPhone using Tapatalk
I meant yeye anaitwa hivyo hivyo Archie sio Kama kina princess Charlotte?!Archie ni wa 7 katika throne kama atafikisha miaka 300 labda
Ila yuko kwenye line
Sent from my iPhone using Tapatalk
Yanii nahisi Queen anaona Meghan anataka kumpanda kichwani na mjukuu kafa kaoza kwa mmarekani,
Na akisema awachie nahisi it won't take five years lazima Jambo litawakuta tu ingawa siombei hivyo
Hao watu Buckingham palace wanawakilisha my presence
Nawaombea wasichoke
Labda Meghan akili bado hazijamkaa kuhusu familia aliyoolewa nayoTatizo huyu Meghan kumpeleka nje ya nchi na bibi anaogopa usalama wao huko kwani watahitaji ulinzi mkubwa kwa kodi zetu
Na watu wamesaruka wanasema kama anaenda aache kila kitu hé can’t have a cake and eat it
Bibi hapendi mambo ya ndani yatoke nje hatujui nyuma ya pazia kaongea nini tukiacha hii speech yake
Ila tuwaombee tu maana ninavyoona mimi it won’t work na dogo atarudi kwao tu
Maisha ya Royal family yana vikwazo na sheria nyingi mno na huna uhuru kabisa anaoutaka harry
Sent from my iPhone using Tapatalk
Sijakuelewa mkuu??Nilipita jumanne iliyopita Buckingham palace umati ulikuwa hapo naona na wewe ulikuwapo kindoto
Ila umejua huyu Meghan alikanywa na officials wa RF lakini akasema nimekufa nimeoza kwa Harry
Lakini ni kivuruge haswa
Na Queen ni strict sana na sheria lazima zifuatwe
Sent from my iPhone using Tapatalk
Ngoja nikusaidie
Labda Meghan akili bado hazijamkaa kuhusu familia aliyoolewa nayo
I meant yeye anaitwa hivyo hivyo Archie sio Kama kina princess Charlotte?!
Na kwanini Queen hakumpa title is there any reason?!
Hao watu Buckingham palace wanawakilisha my presence
Nawaombea wasichoke
Alikurupuka sana Meghan huko aliko anajuta aseewh!yaani namuona avowavuruga watamchoka sasa hvYaani kabla hajaolewa aliendewa na watu kutoka familia ya Harry na kumweleza kuhusu familia anayoingia ataiweza? Kuna hili na hili na hili lakini akakubali masharti yote
Ila kuuhalisia ni mgumu kama alivyofikiria
Masharti ni mengi mno
Sijui kama ndio swali lako hilo
Sent from my iPhone using Tapatalk
Alikurupuka sana Meghan huko aliko anajuta aseewh!yaani namuona avowavuruga watamchoka sasa hv
Sent using Jamii Forums mobile app
Naomba kujua kwanini watoto wa prince William wale watatu wapo karibu na line of succession to throne kuliko price harry??? Maana William na harry ni watoto wa Charles. Nilitegeme akitoka malkia eliza aje charles then William alaf harry ila nashangaa akitoka William wanafata watoto wake ...why ??
Watamuandama mpaka atasalimu Amri mwenyewe
Sent from my iPhone using Tapatalk
Naomba kujua kwanini watoto wa prince William wale watatu wapo karibu na line of succession to throne kuliko price harry??? Maana William na harry ni watoto wa Charles. Nilitegeme akitoka malkia eliza aje charles then William alaf harry ila nashangaa akitoka William wanafata watoto wake ...why ??