MSAGA SUMU
JF-Expert Member
- May 25, 2015
- 6,482
- 20,426
Mwanamfalme wa Saudi Arabia Mohamed bin Salman katika kuufanya ufalme huo kuwa wa kisasa (modernization) amamua kumkaribisha entertainer mwanadada wa Marekani mwenye asili ya Mashariki ya kati, Mia Khalifa.
Pamoja na mambo mengine watajadili kuhusu njia kadhaa za kuurudisha sura nzuri ya ufalme huo kwenye jumuia ya kimataifa hasa baada ya kifo cha mwandishi Jamal Khashoggi
Ziara hiyo imepokewa kwa hisia tofauti na wananchi wa Saudi Arabia huku wengine wakifurahi na wengine wakichukuzwa na ujio huo.
Wanaounga mkono ujio huo wamedai ni ujinga kuruhu kuuza kitimoto na pombe ndani ya ufalme huo halafu wamkataze Mia Khalifa kuingia nchini humo.
Pamoja na mambo mengine watajadili kuhusu njia kadhaa za kuurudisha sura nzuri ya ufalme huo kwenye jumuia ya kimataifa hasa baada ya kifo cha mwandishi Jamal Khashoggi
Ziara hiyo imepokewa kwa hisia tofauti na wananchi wa Saudi Arabia huku wengine wakifurahi na wengine wakichukuzwa na ujio huo.
Wanaounga mkono ujio huo wamedai ni ujinga kuruhu kuuza kitimoto na pombe ndani ya ufalme huo halafu wamkataze Mia Khalifa kuingia nchini humo.