Mwanakuyatafuta, mwanakuyapata

warumi

R I P
May 6, 2013
16,273
18,375
Yule First Lady mpya wa kaka yetu, nae ndoa ishaanza kuota ukungu kisa kikiwa ni mpiga chapi first class hapa nchini mwenye mashauzi kama yote kisa tu siku hiz anatembea na four wheels

Unaambiwa bidada huyo kutoka nchi jiran amekua akionyesha mahaba hadharani kwa kijakazi huyo wa boyfriend wake, inasemekana dada kamzimikia kafa kaoza, kila sehemu anatak kuongozana na mpiga chapi huyo ambaye na yeye mashalah kaumbika Ana sura na mvuto kumzidi boss wake .

Basi unaambiwa usiku wa valentine , bibie huyo mwenye damu ya Kunguru alimpa zawadi ya viatu kijakaz huyo, mbaya zaidi habari zimeshaanza kuenea kwenye palace hiyo ambayo imejaa watoto wenye asili ya kulee wenye tabia zilizoshindikana.

Sasa huyo dada na yeye Kwan hatosheki? Mxieew na kanaonekana tu hakajatulia, na ukahaba wake unataka tu mwenzie kibarua kiote nyasi

Unaambiwa sultana mwenyewe Ila sio hurrem, Yule last say yupo kwenye ushushu wa hali ya juu kuhakikisha hizo tuhuma ni za kweli au wambea tu wanataka kumuaribia mkate mpiga chapi huyo .

Ila wambea kutoka kwenye kasri hyo wamenihakikishia kuwa umbea huo una chembe chembe za ukweli , Kwan dada huyo kila akimuona kijana wa watu basi uishia tu kuangalia chini kwa aibu huku akimrembulia macho, mwanakuyatafuta, mwanakuyapata.


Yan badala ya kukazana umchune huyo zoba unakazana na huyo kinda ambaye hata I phone 6 hawez kukununulia mxieew .


Ila nasikia nae huyo mpiga nanii kawala wengi jaman , Yule mke wa yoo, mzazi mwenzie na tunaendana mi na wewe, lyn, yan list ndefu mpaka wengine warumi Mimi nimegoma kuamini mpaka sasa


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Yule First Lady mpya wa kaka yetu, nae ndoa ishaanza kuota ukungu kisa kikiwa ni mpiga chapi first class hapa nchini mwenye mashauzi kama yote kisa tu siku hiz anatembea na four wheels

Unaambiwa bidada huyo kutoka nchi jiran amekua akionyesha mahaba hadharani kwa kijakazi huyo wa boyfriend wake, inasemekana dada kamzimikia kafa kaoza, kila sehemu anatak kuongozana na mpiga chapi huyo ambaye na yeye mashalah kaumbika Ana sura na mvuto kumzidi boss wake .

Basi unaambiwa usiku wa valentine , bibie huyo mwenye damu ya Kunguru alimpa zawadi ya viatu kijakaz huyo, mbaya zaidi habari zimeshaanza kuenea kwenye palace hiyo ambayo imejaa watoto wenye asili ya kulee wenye tabia zilizoshindikana.

Sasa huyo dada na yeye Kwan hatosheki? Mxieew na kanaonekana tu hakajatulia, na ukahaba wake unataka tu mwenzie kibarua kiote nyasi

Unaambiwa sultana mwenyewe Ila sio hurrem, Yule last say yupo kwenye ushushu wa hali ya juu kuhakikisha hizo tuhuma ni za kweli au wambea tu wanataka kumuaribia mkate mpiga chapi huyo .

Ila wambea kutoka kwenye kasri hyo wamenihakikishia kuwa umbea huo una chembe chembe za ukweli , Kwan dada huyo kila akimuona kijana wa watu basi uishia tu kuangalia chini kwa aibu huku akimrembulia macho, mwanakuyatafuta, mwanakuyapata.


Yan badala ya kukazana umchune huyo zoba unakazana na huyo kinda ambaye hata I phone 6 hawez kukununulia mxieew .


Ila nasikia nae huyo mpiga nanii kawala wengi jaman , Yule mke wa yoo, mzazi mwenzie na tunaendana mi na wewe, lyn, yan list ndefu mpaka wengine warumi Mimi nimegoma kuamini mpaka sasa


Sent from my iPhone using JamiiForums
KAPICHA PLEASE
 
Yule First Lady mpya wa kaka yetu, nae ndoa ishaanza kuota ukungu kisa kikiwa ni mpiga chapi first class hapa nchini mwenye mashauzi kama yote kisa tu siku hiz anatembea na four wheels

Unaambiwa bidada huyo kutoka nchi jiran amekua akionyesha mahaba hadharani kwa kijakazi huyo wa boyfriend wake, inasemekana dada kamzimikia kafa kaoza, kila sehemu anatak kuongozana na mpiga chapi huyo ambaye na yeye mashalah kaumbika Ana sura na mvuto kumzidi boss wake .

Basi unaambiwa usiku wa valentine , bibie huyo mwenye damu ya Kunguru alimpa zawadi ya viatu kijakaz huyo, mbaya zaidi habari zimeshaanza kuenea kwenye palace hiyo ambayo imejaa watoto wenye asili ya kulee wenye tabia zilizoshindikana.

Sasa huyo dada na yeye Kwan hatosheki? Mxieew na kanaonekana tu hakajatulia, na ukahaba wake unataka tu mwenzie kibarua kiote nyasi

Unaambiwa sultana mwenyewe Ila sio hurrem, Yule last say yupo kwenye ushushu wa hali ya juu kuhakikisha hizo tuhuma ni za kweli au wambea tu wanataka kumuaribia mkate mpiga chapi huyo .

Ila wambea kutoka kwenye kasri hyo wamenihakikishia kuwa umbea huo una chembe chembe za ukweli , Kwan dada huyo kila akimuona kijana wa watu basi uishia tu kuangalia chini kwa aibu huku akimrembulia macho, mwanakuyatafuta, mwanakuyapata.


Yan badala ya kukazana umchune huyo zoba unakazana na huyo kinda ambaye hata I phone 6 hawez kukununulia mxieew .


Ila nasikia nae huyo mpiga nanii kawala wengi jaman , Yule mke wa yoo, mzazi mwenzie na tunaendana mi na wewe, lyn, yan list ndefu mpaka wengine warumi Mimi nimegoma kuamini mpaka sasa


Sent from my iPhone using JamiiForums
Unamzungumzia Lukamba, lingine..?
 
51499364_1212961685536890_8812323916708694528_n.jpg
Aisee kazi ipo, naombeni kapicha ka huyo dogo mana mimi simjuagi eti

Sent using Jamii Forums mobile app
 
7 Reactions
Reply
Back
Top Bottom