chuse tbr
JF-Expert Member
- Aug 11, 2013
- 483
- 545
Mwanakijiji umechambua vizuri sana nadhani mheshimiwa Raisi inabidi awe mkali kweli kwa vyombo vyake vya usalama awambie mimi na serikali tunachafuliwa sasa liwe jua iwe mvua nataka wahusika wafahamike na jamii itambue pasipo shaka kuwa hatuhusiki