Kabembe
JF-Expert Member
- Feb 11, 2009
- 2,548
- 1,741
Matendo ya vyombo vya dola,serikali na matamko ya rais yalishamhutumu Tundu Lissu kuwa ni msaliti na kwamba msaliti lazima ashughulikiwe so ni adhabu gani na lini aadhibiwe ndio kilichokuwa kinasubiriwa.
Hapa serikali kujisafisha ni kama kujipaka mavi. Current status [HASHTAG]#Deepstate[/HASHTAG]
Hapa serikali kujisafisha ni kama kujipaka mavi. Current status [HASHTAG]#Deepstate[/HASHTAG]