Mwita Maranya
JF-Expert Member
- Jul 1, 2008
- 10,564
- 7,973
Kwanini awatoe hao kwenye nyekundu tu na asiwataje wengine waliobakia ilhali tunawajua wa majina na idadi yao? hebu jiulize halafu utajua alichokikusudia ili makala yake inoge!
Hata kama angewataja wote kama unavyotaka wewe iwe bado, haiondoi ukweli kwamba waislamu wengi walishiriki kuianzisha TAA/TANU/CCM lakini hawakuanza harakati zao kwa malengo ya kidini bali kwa ajili ya ukombozi wa Tanganyika, na hawakuwabagua watu wasio wa dini yao, hadi wakakubali kumpisha kijana mkristu Nyerere kuchukua uenyekiti wa TANU. Enzi hizo hakukuwa na ubaguzi kama leo mnavyowaita wenzenu kafiri, kwakuwa waislamu wa enzi zile walikuwa watu safi hawakuwa wanafiki.
Ili makala inoge ni katika kuweka ulinganifu (differences and similarities) wa pande mbili, au tatizo lako hukutaka hoja inoge?? Kama hoja ya mwanakijiji isingenoga bilashaka usingepata elimu kama ulivyoipata.