Lunyungu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2006
- 8,873
- 1,894
Siyo siri na sikutaka kusema .Hapa Tanganyika kila kona ya wakubwa kuanzia polisi , nk ukiwa kwenye maeneo yao ukianza kuongea wanakueleza kabisa usije ukawa Agent wa mwanakijiji .Yaani mwanakijiji hapa Tanzania kwa wale wanao vurunda basi wanakutambua mno na wamepelekea jamboforum na KLH kuwa maarufu kila kukicha. Nakueleza Chapa kazi mwanawane hao walevi achana nao. Unaona wanakuja na dailynews forum wanaangauka sasa wanakuja na Majira bado wataanguka bado watu uchwara wa huku mitaani .
Graundini hapa baada ya Zitto ni mwanakijiji hakuna wa kubisha .Sisi kila kukicha yuko kilingeni.
Halafu wewe mtu wa kwa Mnyamani bwana una maandishi ya kizushi sana . hapo London naona baridi imekuzidi sasa inapanda kichwani .Acheni kuleta habari za kizushi kutupotezea muda sisi tule ishu na kumkoma nyani.
Graundini hapa baada ya Zitto ni mwanakijiji hakuna wa kubisha .Sisi kila kukicha yuko kilingeni.
Halafu wewe mtu wa kwa Mnyamani bwana una maandishi ya kizushi sana . hapo London naona baridi imekuzidi sasa inapanda kichwani .Acheni kuleta habari za kizushi kutupotezea muda sisi tule ishu na kumkoma nyani.