Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 269,633
- 697,794
Wapendwa wana JF, mwenzetu Saint Anne, amefiwa na baba yake leo. Ninaomba tu kila mmoja wetu kwa Imani yake; amuweke Anne na familia nzima kwenye maombi. Mungu akawafariji, akawatie nguvu na kuwavusha salama katika kipindi hiki kigumu sana na chenye majonzi kwao. BWANA Alitoa, na BWANA Ametwaa, Jina la BWANA na libarikiwe.
Baba marehemu alikwenda Mbozi kusalimia, akiwa huko aliugua ghafla na kulazwa, bahati mbaya umauti ukamkuta. So bado taratibu nyingine za kifamilia zinaendelea, ila msiba na kila kitu kitamalizikia huko Undali.
NB: kama kutakuwa na taarifa yoyote zaidi tutajulishana hapa
Updates kwa yeyote atakayejisikia kwa namna yoyote ile kumshika mwenzetu mkono number ni 0756 865 385 Abel Kahava hapa
Baba marehemu alikwenda Mbozi kusalimia, akiwa huko aliugua ghafla na kulazwa, bahati mbaya umauti ukamkuta. So bado taratibu nyingine za kifamilia zinaendelea, ila msiba na kila kitu kitamalizikia huko Undali.
NB: kama kutakuwa na taarifa yoyote zaidi tutajulishana hapa
Updates kwa yeyote atakayejisikia kwa namna yoyote ile kumshika mwenzetu mkono number ni 0756 865 385 Abel Kahava hapa