Raimundo
JF-Expert Member
- May 23, 2009
- 13,416
- 12,600
Watu wangu wa Mwanza mambo vipi? Ilemela, Buzuruga, Mabatini, Buhangwa, Airport..!!!!
Baada ya kuingia tu jijini kitu cha kwanza nimeomba nipelekwe kwenye uli mti uliowahi kujadiliwa humu JF, mti kunyonga. Yale maneno yameniuma sana karibia nirudi zangu nilikotoka kwa hasira.
Mimaneno imekaa kivitisho vitisho dhidi ya wanaharakati, wapingao kukandamizwa na serikali dhalimu.
Picha nimeichukua usiku so kama maandishi hayaonekani vizuri tuwiane radhi.
View attachment 37641
Baada ya kuingia tu jijini kitu cha kwanza nimeomba nipelekwe kwenye uli mti uliowahi kujadiliwa humu JF, mti kunyonga. Yale maneno yameniuma sana karibia nirudi zangu nilikotoka kwa hasira.
Mimaneno imekaa kivitisho vitisho dhidi ya wanaharakati, wapingao kukandamizwa na serikali dhalimu.
Picha nimeichukua usiku so kama maandishi hayaonekani vizuri tuwiane radhi.
View attachment 37641