Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,442
- 113,451
- Thread starter
- #121
Du!, mimi huwezi amini, usibabaishwe na jina kubwa, mimi napiga sana menu za kwa mama lishe, nakula sana Feri, na vijiwe vyangu ni mitaa ya Sinza pale Rombo, Calabash, Kwa mama Kamche etc. siku ukisikia nimekwenda Triple 7, au Jackies, ujue kuna mtu namuingiza tuu king ili nipige pesa ndefu.Mm sehem zangu za kizalendo utaziweza? Hakuna zile spesho offer za kulemnakoendaga watu wa Calibre Kama yako.
Saa hizi niiko mitaa ya Sinza. Check your PM.
P.