Mwanajf, Naibu Waziri, Ahudhuria Birthday Wema Sepetu, Mlimani City, Avalia Gauni la Rangi ya Chanikiwiti, Apendeza!, Atokelezea!

Kwa wale ambao mnaniamini, naombeni tuu muamini kuwa mwana JF mwenzetu alipendeza na kutokelezea. Msiwe ma Tomaso!, "Heri wanaoamini bila kuona", hivyo nawaombeni sana mniamini, after all jf was meant to be the home of great thinkers, majina na picha ni mambo ya simple minds, great mind ni ideas tuu, hivyo you can just imagine..
P
Mkuu tunakujua na kuona mambo unayoyafanya kwa kuona picha za mambo unayoyafanya ndio maana ukiwa kule mabanda ya SabaSaba huonyeshwa kwenye TV ukiwa mubashara yote hiyo kunogesha mambo,tusingeweza kumjua Trump bila ya picha,kwa mwandishi nguli kama wewe kusema picha haina maana muhimu tukuamini sasa tumeanza kuamini kama ulivyoandika '' after all JF was meant to be home of great thinkers'' kusema majina picha na majina ni mambo ya simple minds si kweliideas peke yake haiwezi kuwa great mind kama inakuwa haina support mkuu na ka tasnia ya uandishi unapoandika kitu unatakiwe uweke picha kuonyesha tukia na jina pia,kwa kifupi inaonekana unaogopa kusema yale uliyotaka tukuamini kwa kuwa uliyemuona ni waziri na sio ajabu huyo waziri ni rafiki yako ndio maana umekuwa muoga kuonyesha picha yake akiwa kwenye sherehe za Wema,halafu unatulazimisha tusiwe Tomaso! na tukuamini kwa kuwa ni Pasco.
 
Mkuu tunakujua na kuona mambo unayoyafanya kwa kuona picha za mambo unayoyafanya ndio maana ukiwa kule mabanda ya SabaSaba huonyeshwa kwenye TV ukiwa mubashara yote hiyo kunogesha mambo,tusingeweza kumjua Trump bila ya picha,kwa mwandishi nguli kama wewe kusema picha haina maana muhimu tukuamini sasa tumeanza kuamini kama ulivyoandika '' after all JF was meant to be home of great thinkers'' kusema majina picha na majina ni mambo ya simple minds si kweliideas peke yake haiwezi kuwa great mind kama inakuwa haina support mkuu na ka tasnia ya uandishi unapoandika kitu unatakiwe uweke picha kuonyesha tukia na jina pia,kwa kifupi inaonekana unaogopa kusema yale uliyotaka tukuamini kwa kuwa uliyemuona ni waziri na sio ajabu huyo waziri ni rafiki yako ndio maana umekuwa muoga kuonyesha picha yake akiwa kwenye sherehe za Wema,halafu unatulazimisha tusiwe Tomaso! na tukuamini kwa kuwa ni Pasco.
Mkuu Mfianchi, kwanza ni kweli habari ikiandamana na picha, inanoga zaidi, lakini kama umetoa habari huku umehifadhi majina, ukiweka picha, badala ya kunogesha, utaharibu.

The concept hapa ni mtu kwenda kwenye social events huku umevalia vazi la favourite colour ya Chanikiwiti, na kutokelezea na kupendezea.

Sitamtaja sio kwasababu namzimikia, bali namheshimu, ni bosi wangu.
P
 
Mkuu Mfianchi, kwanza ni kweli habari ikiandamana na picha, inanoga zaidi, lakini kama umetoa habari huku umehifadhi majina, ukiweka picha, badala ya kunogesha, utaharibu.

The concept hapa ni mtu kwenda kwenye social events huku umevalia vazi la favourite colour ya Chanikiwiti, na kutokelezea na kupendezea.

Sitamtaja sio kwasababu namzimikia, bali namheshimu, ni bosi wangu.
P
UMEANZA LINI KUWA NA BOSS WAKO?
weka picha!
 
Leo Tena, nimemuona Mhe. Naibu Waziri akizumza Bungeni, kiukweli anapendezea, anazidi kung'ara, mwanzo akikuwa mweupe maji ya kunde maangavu, Sasa ni mweupe cheupe angavu, anazidi kupendezea na kutokelezea, akiendelea kwa mwendo huu, soon anaweza kabisa kugeuka mzungu.

Kama kuna watu wanatunza, kiukweli ni watunzaji, hongera zao.
P
 
Leo Tena, nimemuona Mhe. Naibu Waziri akizumza Bungeni, kiukweli anapendezea, anazidi kung'ara, mwanzo akikuwa mweupe maji ya kunde maangavu, Sasa ni mweupe cheupe angavu, anazidi kupendezea na kutokelezea, akiendelea kwa mwendo huu, soon anaweza kabisa kugeuka mzungu.

Kama kuna watu wanatunza, kiukweli ni watunzaji, hongera zao.
P
hahahaha mjamaa.unanifurahishaga Sanaa.daah

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Leo Tena, nimemuona Mhe. Naibu Waziri akizumza Bungeni, kiukweli anapendezea, anazidi kung'ara, mwanzo akikuwa mweupe maji ya kunde maangavu, Sasa ni mweupe cheupe angavu, anazidi kupendezea na kutokelezea, akiendelea kwa mwendo huu, soon anaweza kabisa kugeuka mzungu.

Kama kuna watu wanatunza, kiukweli ni watunzaji, hongera zao.
P

Mzee baba; kuna watu wanatunza? au ni mtu anayemtunza! Ninachofahamu huyo mheshimiwa ameolewa. Na huko kung'aa kunaweza kusababishwa na mambo mengi ikiwemo kunywa maji mengi kama ilivyokuwa kwa yule msanii wa bongo movie Ray Kigosi. Huwezi jua.
 
Mzee baba; kuna watu wanatunza? au ni mtu anayemtunza! Ninachofahamu huyo mheshimiwa ameolewa. Na huko kung'aa kunaweza kusababishwa na mambo mengi ikiwemo kunywa maji mengi kama ilivyokuwa kwa yule msanii wa bongo movie Ray Kigosi. Huwezi jua.
Kumbe ni maji tuu, ngoja na mimi nimshauri ebony wangu kunywa maji mengi ili ageuke Ivory.
P
 
Wanabodi, leo tena nimemuona Mhe. Naibu Waziri, Bungeni akijibu swali la nyongeza, huku amevalia vazi la rangi ya chanikiwiti, kiukweli amependezea sana, ila sijui ni kwanini Naibu Waziri huyu mpaka leo bado hana confidence kabisa katika kujibu maswali ya nyongeza, anatetemeka sana, adrenalin, unaisikia hadi kwenye microphone.

P
 
Wanabodi, leo tena nimemuona Mhe. Naibu Waziri, Bungeni akijibu swali la nyongeza, huku amevalia vazi la rangi ya chanikiwiti, kiukweli amependezea
P
Paskalia ndg yangu, hebu hayo marangi yasikushurutishe Sana manake wengine ni lovers wa shouting colors.

Hebu kwanza leo tuonane lunch time Kama haitoharibu mfungo wako
 
Paskalia ndg yangu, hebu hayo marangi yasikushurutishe Sana manake wengine ni lovers wa shouting colors.

Hebu kwanza leo tuonane lunch time Kama haitoharibu mfungo wako
Mkuu GF Sonwin, ni tuonane muda wa lunch, yaani lunch time, au tuonane pale hoteli ya Lunch Time?.
P
 
Wanabodi, leo tena nimemuona Mhe. Naibu Waziri, Bungeni akijibu swali la nyongeza, huku amevalia vazi la rangi ya chanikiwiti, kiukweli amependezea sana, ila sijui ni kwanini Naibu Waziri huyu mpaka leo bado hana confidence kabisa katika kujibu maswali ya nyongeza, anatetemeka sana, adrenalin, unaisikia hadi kwenye microphone.

P
Kila akivaa chanikiwiti anakuvuruga na kukukoroga kabisa.
 
Back
Top Bottom