Kamanda Francis
JF-Expert Member
- Nov 30, 2013
- 834
- 140
Member wa JF na aliekuwa kiongozi wa CDM SAUT NICHOLAUS KILUNGA,jana jioni alipigwa na green guard na baadae kukamatwa na polisi kwa kosa la kumtaka Nape Nnauye azungumzie ufisadi wa bilioni 200 za IPTL,
nimeona status yake kule facebook kwenye kundi la "DK Slaa 2015 VS Lowassa 2015",ikumbukwe kuanzia jana aliweka wazi mikakati ya CCM kuwanunua baadhi ya wanachama wa CDMSAUT hasa rais wa chuo hicho,pia jinsi Nape alivyotoa pesa na hatimaye wakanunuliwa ng'ombe 3 na mbuzi 10,kwa kuwa yeye ni member hapa JF na akitumia jina hilo naamini atapandisha uzi hapa,bt makamanda tuungane kupinga uovu wa CCM
Hii hapa post yake niliyoikopy kwake
My take hii,ni aibu kubwa sana kwako bwana Nnauye,kuruhusu mtu kupigwa na vijana wako kisa kukutaka wewe uelezee ufisadi wa IPTL?
nimeona status yake kule facebook kwenye kundi la "DK Slaa 2015 VS Lowassa 2015",ikumbukwe kuanzia jana aliweka wazi mikakati ya CCM kuwanunua baadhi ya wanachama wa CDMSAUT hasa rais wa chuo hicho,pia jinsi Nape alivyotoa pesa na hatimaye wakanunuliwa ng'ombe 3 na mbuzi 10,kwa kuwa yeye ni member hapa JF na akitumia jina hilo naamini atapandisha uzi hapa,bt makamanda tuungane kupinga uovu wa CCM
Hii hapa post yake niliyoikopy kwake
"kweli nimeamini maneno ya dr slaa kwamba nchi hii neno haki ni msamiati,baada ya kumtaka nape nnauye azungumzie ufisadi wa bilioni 200 za iptl kupitia account ya escro,mambo yalikuwa si mambo tena baada ya vijana wa green guard kunivamia na kunipiga na kutaka kuninyanganya kamera yangu mbele ya polisi,na badala ya kusaidiwa,nikaishia kukamatwa na polisi,bt mungu ni mwema nimeachiwa huru baada ya kuonekana sina hatia,nawashukuru makamanda wa cdm saut kwa kuzuia gari la polisi kuondoka nami,kwa ujasiri wao wa kuwa nami pembeni wakati wote,namshukuru mkurugenzi wa ulinzi na usalama wa cdm rwakatale kwa kunitia moyo,makamanda kutoka kigoma kwetu wakiongozwa na bulinjiye na wiston mogha,na wale wote mlionipigia simu,kunitext kunijulia hali juu ya masahibu yaliyonipata na zaidi kunitia moyo,ni wengi sana na siwezi kuwataja wote bt mlpokuwa pembeni ya gari mlikuwa mnanitia nguvu,
story kamili nitaileta hapa kesho
daima nitaendelea kuwatetea wanyonge,nitabakia kuwa mwanchama wa cdm,
"every choice has a concequnce"
picha chini ni matukio mbali mbali katika picha,yakiwemo kunipongeza na kunitia ujasiri baada ya kuachiwa na polisi,picha ya 2 kamanda muta akizuia green guard wasininyang'anye kamera,na nyingine mkuu wa polisi akizongwa na makamanda wa cdm saut wakimshinikiza niachiwe
"
My take hii,ni aibu kubwa sana kwako bwana Nnauye,kuruhusu mtu kupigwa na vijana wako kisa kukutaka wewe uelezee ufisadi wa IPTL?