Mwanajeshi JWTZ afariki ktk ajali mbaya ya pikipiki

Shaycas

JF-Expert Member
Feb 13, 2009
906
110
Wadau,leo asubuhi around 12:30 askari wa JWTZ aitwae sgt Said Kindamba amegongwa na gari la Polisi wakati akienda kazini na kufariki papo hapo.
Ajali imetokea karibu kabisa na kambi ya jeshi TMA wakati askari huyo akitokea nyumbani kwake na kuingia barabara kuu ya Monduli-Arusha,ndipo akagongwa na Gari hilo la Polisi lililokuwa limetokea Monduli. Mwili wa marehemu unatarajiwa kusafirishwa kesho kwenda kwao Iffakara,Moro kwa mazishi.
Mungu ailaze Roho ya marehemu SGT KINDAMBA mahali pema peponi.
 
wadau,leo asubuhi around 12:30 askari wa jwtz aitwae sgt said kindamba amegongwa na gari la polisi wakati akienda kazini na kufariki papo hapo.
Ajali imetokea karibu kabisa na kambi ya jeshi tma wakati askari huyo akitokea nyumbani kwake na kuingia barabara kuu ya monduli-arusha,ndipo akagongwa na gari hilo la polisi lililokuwa limetokea monduli. Mwili wa marehemu unatarajiwa kusafirishwa kesho kwenda kwao iffakara,moro kwa mazishi.
Mungu ailaze roho ya marehemu sgt kindamba mahali pema peponi.

rip sgt kindamba......mwanajeshi kagongwa na gari ya polisi!:a s 39:
 
Mipango ya Mungu haina makosa na hakuna ajuae siku wala saa wote hapa ni wasafiri tuendako hatukujui ! Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi Amen!
 
Back
Top Bottom