barafu
JF-Expert Member
- Apr 28, 2013
- 6,726
- 32,816
Usiku wa kuamkia leo,mwanajeshi ambaye jina bado halijapatikana,amewapiga vijana kadhaa risasi,watatu wakiwa marehemu hadi sasa wakati wengine watano wakiwa mahututi hospitalini.
Tukio hili limetokea maeneo ya Kigogo Check point maeneo ya Pugu,vijana hao walikuwa wakisherekea mwaka mpya kwa style ya kurukia magari,kugonga body za magari na kuchoma matairi.Mjeshi huyo akiwa na familia yake ndani ya gari aina ya Rav4,vijana walianza kuvamia gari lake kwa fujo na kugonga bodi,hata alipowasii kwa ishara waache wanachokifanya walizidi kuendelea,kwake alidhani ni vibaka au majambazi;basi aliwamiminia risasi na kuua watatu na wengine wanne ni majeruhi.
Mjeshi alijipeleka ktk kituo cha Sitaki Shari-Ukonga,na uchunguzi unaendelea.hivi ndivyo mwaka mpya tulivyoupokea huku maeneo ya Pugu Kigogo.
Tukio hili limetokea maeneo ya Kigogo Check point maeneo ya Pugu,vijana hao walikuwa wakisherekea mwaka mpya kwa style ya kurukia magari,kugonga body za magari na kuchoma matairi.Mjeshi huyo akiwa na familia yake ndani ya gari aina ya Rav4,vijana walianza kuvamia gari lake kwa fujo na kugonga bodi,hata alipowasii kwa ishara waache wanachokifanya walizidi kuendelea,kwake alidhani ni vibaka au majambazi;basi aliwamiminia risasi na kuua watatu na wengine wanne ni majeruhi.
Mjeshi alijipeleka ktk kituo cha Sitaki Shari-Ukonga,na uchunguzi unaendelea.hivi ndivyo mwaka mpya tulivyoupokea huku maeneo ya Pugu Kigogo.