Easy Chair Mark III
JF-Expert Member
- Aug 19, 2019
- 897
- 1,368
Inavyoonekana wewe "Utoto" bado unakusumbua, ndiyo maana umeandika hivyo ulivyoandikaMlioanza mapenzi ukubwani ndio mnaona sio ya mchezo mchezo, ila mabaharia hatuko hivyo, sikutongozi kwa nguvu, na sikuachi kwa vurugu.