Mwanajeshi apigwa na Askari wa Usalama!

Yaani unawaaminia wajeda!!! Huyo anashurutishwa kutii sheria baada ya kwenda kinyume na utii wa sheria bila shuruti!
 
Ndugu mtoa mada, tafadhari kabla ya kurusha issue fuatilia kwanza kiundani mkuu,

Issue ni hivi huyuu jamaa kasimamishwa akasimama vizuri ila akawa anaulizwa maswali ya usalama barabarani kama vile leseni, na mengine akajifanya anapotezewa muda yy ni mwanajeshi na police wakaomba kwanza kitambulisho hakuwa nacho, wakamuuliza mambo ya jeshi mf, kikosi gani hajui anatatanika..

Zaidi sana kumbe mdogo,mtt kama si lafiki wa mwanajeshi.ndipo akatumia nafasi hiyo kukiuka sheria ya nchi.

Ila kiukweli hakuna watu wanaheshimiana kama wanajeshi na Police maana mama na Baba yao mmoja..

Mleta mada omba msamaha jamii kwa uchonganishi, yule alikuwa Raia anayetumia jina la jeshi kukiuka sheria..
 
Nini hasa chanzo cha kumpiga? Kama kweli ni mwanajeshi basi kazi ipo kwa hao polisi na wataiona dunia chungu sana lakini kama hakuwa mwanajeshi basi kipondo atapata kikali zaidi ya hapo .
 
jamani kwanini askari wanajichukulia sheria mkononi??

si vyema wala si haki kwa kweli

naongea huku nikikumbuka member wa hjf alipigwa na mwanajeshi mbele ya mke wake

NADIRIKI KUSEMA TANZANIA @ 50
 
Sasa utatofautishaje komandoo na mjeshi wa kawaida? Ila acha utani kama unadhani ni kirahisi hivyo ebu jaribu hata hawa wa kawaida kama ujawasilimulia ukoo wako mzima

wanajeshi kinachowapaisha ni ushirikiano wao tu, ila akiwa peke yake unaweza ukapita nae. NB: Usije ukajichanganya kwa komandoo
 
Kwa kisago polisi wetu wamefuzu nadhani wakifika kwenye mafunzo Moshi hilo ndio somo namba moja.
Hayo tunayoshuhudia mitaani ni cha mtoto,huko kwenye vituo vya polisi,watu wanabondwa mpaka wanazimia,kama sio kufa kabisa.
Utashangaa mtu kasalimu amri nakukamatwa,lakini anasindikizwa na mateke vitako vya bunduki kuingia kwenye kalandinga.
Hayo yalikuwa yanatokea kabla serikali haija rasimisha mpango wao wa 'wapigwe tu tumechoka',sasa nisikilizie muziki baada ya agizo hilo.
 
Itakuwa alileta ujeshi wake akalazimisha foleni ivute upande wake
Apigwe tu kwani nini tumewachoka
 
Mh kisheria sijui kama inaruhusiwa kumpiga raia sema kwa vile watz hatujui sheria kama ni akitafuta wanasheria wanaweza msaidia hakuna aliye juu ya sheria lakini kwa tz hilo linawezekana .

Na hichi ndicho wote tulitakiwa tukijadili... #nashangaa
 
Ndugu mtoa mada, tafadhari kabla ya kurusha issue fuatilia kwanza kiundani mkuu,

Issue ni hivi huyuu jamaa kasimamishwa akasimama vizuri ila akawa anaulizwa maswali ya usalama barabarani kama vile leseni, na mengine akajifanya anapotezewa muda yy ni mwanajeshi na police wakaomba kwanza kitambulisho hakuwa nacho, wakamuuliza mambo ya jeshi mf, kikosi gani hajui anatatanika..

Zaidi sana kumbe mdogo,mtt kama si lafiki wa mwanajeshi.ndipo akatumia nafasi hiyo kukiuka sheria ya nchi.

Ila kiukweli hakuna watu wanaheshimiana kama wanajeshi na Police maana mama na Baba yao mmoja..

Mleta mada omba msamaha jamii kwa uchonganishi, yule alikuwa Raia anayetumia jina la jeshi kukiuka sheria..

Wewe ndio uwombe msamaha,kwanini umechelewa leta habari sahihi?
 
Ndugu mtoa mada, tafadhari kabla ya kurusha issue fuatilia kwanza kiundani mkuu,

Issue ni hivi huyuu jamaa kasimamishwa akasimama vizuri ila akawa anaulizwa maswali ya usalama barabarani kama vile leseni, na mengine akajifanya anapotezewa muda yy ni mwanajeshi na police wakaomba kwanza kitambulisho hakuwa nacho, wakamuuliza mambo ya jeshi mf, kikosi gani hajui anatatanika..

Zaidi sana kumbe mdogo,mtt kama si lafiki wa mwanajeshi.ndipo akatumia nafasi hiyo kukiuka sheria ya nchi.

Ila kiukweli hakuna watu wanaheshimiana kama wanajeshi na Police maana mama na Baba yao mmoja..

Mleta mada omba msamaha jamii kwa uchonganishi, yule alikuwa Raia anayetumia jina la jeshi kukiuka sheria..

Uko sahihi kabisa...!!
 
chanzo ilikuwa nini? maana mie naona anadhibitiwa tu hapigwi. wanawake huwa hawapigi kabisa
 
chanzo ilikuwa nini? maana mie naona anadhibitiwa tu hapigwi. wanawake huwa hawapigi kabisa
 
Back
Top Bottom