Wajiandae kuhama hapo Makumbusho maana siku si nyingi wataona the real definition ya JWTZ
hamna ishu hapo huyo jamaa alikuwa anawatisha tu hao polisi. wala sio mwanajeshi huyo.
JUST MIKWALA TU.
safi sana mbona sikuwa hapo nishabikie wanajifanya wababe sana
Unataka janga la kitaifa litokee?Na wapigwe tu!
wanajeshi kinachowapaisha ni ushirikiano wao tu, ila akiwa peke yake unaweza ukapita nae. NB: Usije ukajichanganya kwa komandooMwanajeshi gani awe ---- hivyo? Yaani atolewe ktk gari apigwe katulia tu? Huyo si mwanajeshi