Mwanajeshi mmoja amekutwa maeneo ya Tip top,katika Gesti inayoitwa NAMBUA GUEST HOUSE,akiwa amezirai baada ya kuukata uume wake na kuutupa pembeni.Inasemekana jana alikua akiwapigia ndugu zake simu huku akisema NAJIUA,MAISHA HUKU DAR MAGUMU.Baada ya ndugu kuja walimuwahisha hospitali.Mwanajeshi huyo alizinduka wakat anapelekwa kwenye gari ili waende hospitali,lakin kwa kuweweseka alikua akitamka maneno "Haya sasa nawaachia hiyo k*m* mui t*m*e....Inahuzunisha sana...