Hapo mtoa mada kakupatia asilia mia!Ronn M . . .
hehehe. . .mwanamke mguu. Na ukiwa nao shurti uuonyeshe.
Hayo ya mume achana nayo, kuna mtu huku anajipanga anipe mahari yangu, asije akabadili mawazo.
mzee wa njaa . . . kwani uzee ni kifo? Bado tunatesa.
1b9f63
Hapo mtoa mada kakupatia asilia mia!
Queen, mtoto laini, mnene wastani! Unahipsi na kifua kizuri. Tatizo lako unaringa sana na kuwabadili wanaume! Lol! Mana unataka wa hadhi ya juu kweli, ha ha ha
Lizzy, nifundishe kutag sijui, or whatever that you do and a person finds mentioned in the post, kunat watu nawataka hapa
Ronn M mie tangu wameweka hiyo option sijatumia PC mode hivyo sijawahi kitag. Ila nadhani ukienda kwenye edit post/wakati unaanzisha thread chini kutakuwa na sehemu ya kuwaandika wale unaotaka kuwatag.
Ngoja nimuulize Invi kwa uhakika zaidi.
Hako ka avatar sasa!
Heri yangu haunijui jina langu.
Kumbe nimekosea wapi?