Mwanaharakati Caroline Mwatha atoweka

Chuki iko wapi?
Sasa si ni ukweli alisema?
Kunukuu Jambo alosema mtu ni chuki?
Huyo mwanaharakati atakuwa ametoweka Tanzania kwenye nchi mbovu sio Kenya ambako Tanzania yapaswa kujifunza kutoka kwake!...Una hoja nyingine?
Usiniwekee maneno mdomoni tafadhali...nasisitiza nukuu tu mimi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hujaenda mbali kimawazo:
Kenya ni nchi yenye matatizo iliyozoeleka duniani tangu enzi hizo
Kwa sasa imebadili mwelekeo na kuwa nchi ya demokrasia kuliko jirani yake Tanzania
Tanzania inabadilika kutoka kuea kisiwa cha amani na kuwavnchi ya kikatili, mauaji na ukandamizaji wa haki za binadamu
Hata kama Kenya kutakuwa na mauaji ya hapa na pale chavmuhimu ni kuwa yamepungua wakati Tanzania yansongezeka
 
Hujaenda mbali kimawazo:
Kenya ni nchi yenye matatizo iliyozoeleka duniani tangu enzi hizo
Kwa sasa imebadili mwelekeo na kuwa nchi ya demokrasia kuliko jirani yake Tanzania
Tanzania inabadilika kutoka kuea kisiwa cha amani na kuwavnchi ya kikatili, mauaji na ukandamizaji wa haki za binadamu
Hata kama Kenya kutakuwa na mauaji ya hapa na pale chavmuhimu ni kuwa yamepungua wakati Tanzania yansongezeka
Aiseeee!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kenya si ndio tundu anasema kuko na demokrasia ya hali ya juu Sana kwa Africa?
Wanakosaje uvumilivu kwa mwanaharakati tena mwanamke?
Itakuwa umekosea huyo mwanaharakati atakuwa ametoweka "Tanzania nchi iliyokosa demokrasia na haiheshimu haki za binadamu na inaongozwa na Rais wa ajabu kupata kutokea duniani".mwisho wa kunukuu.


Sent using Jamii Forums mobile app

Ongea unayo yajua.
Huyu 'mwanaharakati' hata nimemskia leo mara ya kwanza. Kutoweka kwake hakuhusiki na kazi yake ya 'uharakati'.

Kuna wanaharakati wengi wanaojulikana ambao wangekuwa target, kama Kenya bado iko na tabia za dictator Magufuli.
 
A Kenyan human rights activist who went missing a week ago has been found dead at a city mortuary after a botched abortion, police said Tuesday.

Caroline Mwatha was reported missing last week, prompting Amnesty International to raise the alarm over her disappearance, given her work lobbying against extra judicial killings by police.

A police source said that Mwatha, who was five months pregnant, had died at a clinic where she had gone for the abortion.

The owner of the clinic, and a doctor, came forward and admitted that "they took the body to the mortuary and booked her under a different name and indicated she died of diarrhoea".

The source said police had seen text messages of her planning the abortion with the clinic owner.

Police spokesman Charles Owino confirmed the death and the arrests of the doctor and clinic owner.

"We have two suspects in custody and they are the ones who led detectives to the mortuary," he said.

Abortion is illegal in Kenya unless the mother's life is in danger, however government statistics show over 400,000 abortions are carried out annually.

In November 2018 authorities banned British charity Marie Stopes International over adverts it said promoted abortion, lifting it a month later.

Marie Stopes estimates some seven women die a day in Kenya in so-called backstreet abortions.
 
Back
Top Bottom