Kurzweil
JF-Expert Member
- May 25, 2011
- 6,622
- 8,395
Mwaharakati wa Haki za Binadamu, Caroline Mwatha ametoweka kwenye mazingira ya kutatanisha
> Alijikita katika kuandaa makala ya kiuchunguzi kuhusu mauaji ya watu huko Dandora Kenya
> GAVANA wa Nairobi, Mike Sonko atoa ofa ya Shilingi za Kenya 300,000/ kwa atakayetoa taarifa zitakazosaidia kupatikana kwake
> Alijikita katika kuandaa makala ya kiuchunguzi kuhusu mauaji ya watu huko Dandora Kenya
> GAVANA wa Nairobi, Mike Sonko atoa ofa ya Shilingi za Kenya 300,000/ kwa atakayetoa taarifa zitakazosaidia kupatikana kwake