Raia Fulani
JF-Expert Member
- Mar 12, 2009
- 10,876
- 2,745
Kama na Naibu Spika Ndugai alikuwepo kwa nini na yeye asitoweke kunusuru maisha yake? Yeye mbona haogopi?
Mkuu. Naamini hawa manguli wanachukua hatua thabiti kuepusha macho na meno yao dhidi ya makoleo ya kina Joseph Mulundi.
Atakaye pona JF ni Invisible peke yake maana hawata muona au huenda wako naye lakini hawamuoni.
CCM out!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
hakuna kitu kwenye magamba kwani yalikwisha ondolewa tatizo ni magwanda.na moja wao amekatwa jana bado wengine labda tundu lisu anajua alikojificha
kuna kitu wengi hatujajua japo baadhi wanajua hili. Ni haki ya raia yeyote kumiliki siraha mradi amefuata taratibu ambazo nyingi ziko wazi lakini wengi tunajua kuwa sio watu wengi wanaomiliki bunduki hapa nchini.Nakubaliana na aliyesema Utawala wa KIkwete ni wakimafia ni kuuwa kila anayeukosoa kwa sasa namwamini kabisa na alichosema ,Kikwete mpaka aondoke atakuwa ameua wananchi wengi zaidi ya Risi yeyote aliyewahi kutawala hivi huwa najiuliza afanyavyo haya huwa anawashirikisha Jaji Othman,Mkuu wa Usalama Othman na msaidizi wake Jack Zoka,IGP-Saidi Mwema,Makamu wa Raisi Bilali,Kamishena wa Polisi Kanda maalumu ya Dar es salaam -Selemani Kova akisaidiwa na Ahmed Msangi kama hawahusishi wanamshauri vipi hawa Raisi wetu
Mtasikia wachawi wakisema CHADEMA wanahusika
Nimegonga LIKE kwa msisitizo.Yana mwisho, tena mwisho wa aibu kwa watawala....
Mtasikia wachawi wakisema CHADEMA wanahusika
Mtasikia wachawi wakisema CHADEMA wanahusika
Hapo si ule mgomo wa kupigania mshahara mnono na posho kubwa huku wananchi wanakufa!!!
....tayari washasema
Mkuu. Naamini hawa manguli wanachukua hatua thabiti kuepusha macho na meno yao dhidi ya makoleo ya kina Joseph Mulundi.
Atakaye pona JF ni Invisible peke yake maana hawata muona au huenda wako naye lakini hawamuoni.
umeongea kama mpuuzi mmoja bungeni, 'Mnyika out' utafikiri kichwa kina akili kumbe mayai viza
Sasa kama Chadema wana uwezo mkubwa namna hiyo kuna hatari tukasikia Kikwete katekwa na ChademaWanaandika sasa hv kwenye keyboard, wewe subiri utaona!
Sasa kama Chadema wana uwezo mkubwa namna hiyo kuna hatari tukasikia Kikwete katekwa na Chadema
Kwa hiyo ukiwa na bango hilo ndiyo utafutwe kuuawa au?
Mwanaharakati Marcosy Albanie ametoweka nyumbani kwake baada ya kufuatiliwa na watu wasio julikana kwa kipindi cha siku kadhaa.
Mtakumbuka mara ya mwisho Bwana huyu alionekana kwenye kipindi cha kipima joto kilicho rushwa kwenye runinga ya ITV kikimshirikisha yeye, mbunge wa Singida mashariki Mh Tundu Lissu pamoja na naibu spika Mh Job Ndugai.
Chanzo: Mabadiliko.
NB. Marcosy anajishughulisha na taasisi ya kiraia inayo fuatilia mwenendo wa shughuli za bunge pamoja na masuala mengine katika jamii.
MPUUZI ni huyu anayetoka mapovu kirahisi!!umeongea kama mpuuzi mmoja bungeni, 'Mnyika out' utafikiri kichwa kina akili kumbe mayai viza