Janja PORI
JF-Expert Member
- Jul 31, 2011
- 825
- 246
LAW ASSOCIATE mh MaNJI WAO dowans wao Dr Tenga vipi Ethics wapi hapo
Huyu mtu anatoa wapi ujasiri huu?
Huyu mtu anatoa wapi ujasiri huu?
Kuna Watanzania wenzetu wanatanua na wanakula maisha kwa kuwalinda na kuwatetea kwa nguvu zao zote kina Manji. This is serious maana wengine ni watu wanaoheshimika na kuaminika sana, lakini wajue wanaonekana, wanajulikana na wataumbuka maana Watanzania wa sasa si wa mwaka 47 na si mabwege tena
Ukiona mlevi hataki ama anashindwa kuinuka toka kitini,ila anaomba watu wampishe elewa kuwa K.a.j.i.n.y.e.a yaani kafanya "pupuling" katika nguo zake.
Kesi hiii itazimwa .Kesi hii imelenga kumzuia Msemakweli na magazeti kutosema lolote kwa kuwa watakuwa wanaongelea jambo lililoko Mahakamani .Hapa ma CCM yanazima issue kijanja na hapatakuwa na kesi .Kama unabisha wewe hebu nieleze kesi aliyo fungua Rizwan iko wapi sasa.Huyu Manji anafungua kesi na wakati majuzi alikuwa anarusha matusi hadharani kwa Msemakweli ama kesha sahau ?
Ukimdai mtu deni lako , ukafikia kumpiga maana yake umeamua kuachana na deni unalo dai sasa Manji karudha matusi na leo anataka haki je kutukana ilikuwa haki yake yeye ?
Sarakasi hizi wacha nipande ndege niende safari nitasoma huko huko kinacho tokea .
Na mbaya zaidi, baadhi yao wameamnzisha vyombo vya habari, nasi kama vichaa, kila wanachoandika tunakishabikia. Wengine tumewatunuku vyeo kwenye vyama tunavyotegemea kuja kutukomboa. Nimekuwa najiuliza Marando kumsaidia Manji kuzuia ushahidi wa nyaraka za ufisadi wake Kagoda mahakamani na kukosa majibu.
Bongo bana, kesi za kukandiana zinaanzia kwa Jaji Kiongozi, kesi za wizi wa mabilioni zinaenda kwa hakimu wa kata!jalada la kesi hiyo namba 135 ya 2011, lilipofika kwa Jaji Jundu...baada ya Jaji Kiongozi Fakihi Jundu
uwe na mapenzi ya dhati kwa taifa lako na watu wake,usipende ku support ujinga.au na mhindi nini?au ni mtanzania mwenye asili ya ki asia?!!!!kazi nzuri manji... Waache kukurupuka!
Chonde chonde.. Ukishinda kesi yako usimuadabishe mengi kwa kumdai sh. 1
Huyu mtu anatoa wapi ujasiri huu?
Mwanasheria wa Chadema wakati huo huo mwanasheria wa watuhumiwa wa ufisadi!! Hapo patamu. Hivi Silaa akisimama akasema Manji ni fisadi Marando inabidi aseme Manji si Fisadi kwa kuwa anamtetea mahakamani na anaamini si fisadi.
Kwa kweli kiungwana ingebidi Marando aachane na kitu kimoja; kama ni CHADEMA basi aachane na mafisadi na kama ni mafisadi basi aachane na CHADEMA. Kwa kifupi inabidi Marando ajivue gamba na kama CHADEMA inaona kujivua gamba ni neno la CCM basi na wao watafute neno lao lakini likiwa na maana ya kujitakasa.
Ugomvi wa Manji na Mengi ndio umeibua yote haya
Ni mategemeo yangu kuwa wataendelea kuumbuana mpaka yote yatajulikana na hatimaye VYOMBO VYA SHERIA VITAMALIZIA.