SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 43,707
- 60,756
Hivi kwa nini huyu fisadi Manji asiuawe?
Kazi nzuri Manji... waache kukurupuka!
Chonde chonde.. ukishinda kesi yako usimuadabishe Mengi kwa kumdai sh. 1
Kazi nzuri Manji... waache kukurupuka!
Chonde chonde.. ukishinda kesi yako usimuadabishe Mengi kwa kumdai sh. 1
kwan jike sio mtu?
Mdosi dume huyo, anajiamini sana. safari hii lazima wamlipe nyingi tu.
Anautoa CCM. Hujasikia jinsi wale wabunge wa CCM wakiongozwa na Mtemvu walivyo mtembelea kisha kupewa hundi za milioni mojamoja? Inaelekea huo ni utaratibu wa kawaida na Manji anapata kiburi kwa hiloHuyu mtu anatoa wapi ujasiri huu?
Mdosi dume huyo, anajiamini sana. safari hii lazima wamlipe nyingi tu.
Kazi nzuri Manji... waache kukurupuka!
Chonde chonde.. ukishinda kesi yako usimuadabishe Mengi kwa kumdai sh. 1
Hapo sasa!!
Mdosi dume huyo, anajiamini sana. safari hii lazima wamlipe nyingi tu.
Rose 1980 samahani kama nimekukwaza, ila nilimlenga OMR ambaye ni dume kwenda kushabikia uana dume wa Manji kana kwamba yeye ni wa jinsia tofauti.
kwani mimi nilitaka unipende?we na kifaduro chako hicho, utatupeleka pabaya. Kimsingi sikupendi
Hapo ccm imetoka wapi? hapo kuna Manji vs Mengi na msemakweli...uCCM wako utakuja kukutokea puani!
lakini huwa anashinda!huyu mwizi anapenda mahakama kama mpare vile khaaa madocument
yake ya kugushi tarehe haziwiani af unamtetea we rejao wewe
Ndugu wana jamii, katika sakata la mwanaharakati msemakweli kumlipua Manji dhidi ya wizi wa fedha za umma, manji amejibu mapigo kwa kufungua kesi dhidi ya mwanaharakati msemakweli, akimwunganisha Mengi kwenye kesi hiyo.
Nimebahatika kupata nakara ambayo nime attach lengo wote tupate habari.
Dependence will never make you GROW IN WRIGHT DIRECTION AT A WRIGHT TIMEkwani mimi nilitaka unipende?
kwan jike sio mtu?