Upuuzi tu!! Anaetaka kukuua huwezi kumjua! Na kifo hakipangwi na kundi la watu! Nadhani hata utaratibu wa kufanya kazi kwa TISS hamuufahamu
Sasa huu ndio ushahidi, mbona mnakuwa wafinyu wa mawazo? Habari hizo hizo zinageuzwa juu chini halafu mnaziona ni mpya.