Kama ni ukweli Wa kupikwa basi ni kwa nini Serikali halijalifungia gazeti la Mwanahalisi?,kumbuka pia kazi ya waandishi Wa habari ni kuripoti habari ziwe nzuri/ziwe mbaya sasa kama Serikali imetenda mabaya iandikwe vipi?
Tutafika tuu na ipo siku kitaeleweka............
Upuuzi tu!! Anaetaka kukuua huwezi kumjua! Na kifo hakipangwi na kundi la watu! Nadhani hata utaratibu wa kufanya kazi kwa TISS hamuufahamu
sijaona kipya kwenye gazeti la mwanahalisi zaidi ya kuandika yale yale yaliyojitokeza wiki hii na kuandikwa sana mitandaoni.
Mwanahalisi wanajua kucheza na mitandao kisha wanaonekana ni waanzilishi.
Upuuzi tu!! Anaetaka kukuua huwezi kumjua! Na kifo hakipangwi na kundi la watu! Nadhani hata utaratibu wa kufanya kazi kwa TISS hamuufahamu
Zoka asijidanganye kua ata fanikiwa anacho fikiri kufanya,kuua wananchi mmoja mmoja sio suluisho la SEREKALI YA CCM KUFANYA WANAVO TAKA TUKA NYAMAZA KIMYA!pia Zoka asijidanganye yeye na awo wapuuzi wenzake wapo salama la hasha!wana nchi tumechoka,wao pia Roho zao zipo REHANI,NA WAWE MAKINI KWA MAPAMBANO NA TUPO TAYARI KWAMAPAMBANO.LIWALO NA LIWE.
Yani nyie mnaweza kusababisha Mnyika apate pressure, kila akichungulia humu anakutana na vitisho vimerudiwa. Acheni kumtisha jamani, sio vizuri.
Mwanahalisi haliko upande wa serikali kwa muda mrefu ..