anti-fisadi
JF-Expert Member
- Nov 20, 2010
- 368
- 31
Aisee hawa mwanahalisi sijawai ona,huu uthubutu ni wa kipekee,mjaliwe na kuongozwa zaidi kutupa ukweli. Ni tegemezi la wananchi kwa sasa.
naona mafisadi huwa wanajaribu kuyanunua mtaani yaishe! Ila huwa wanauwezo wa kurudia toleo kama wananchi mkiomba.
Aisee kama hujanywa chai vizuri kabla hujalisoma mwanahalisi asubui unaweza kuparalise japo ufisadi huo hukufanya wewe! Habari zao ni moto tanzania nzima hamna tena.
naona mafisadi huwa wanajaribu kuyanunua mtaani yaishe! Ila huwa wanauwezo wa kurudia toleo kama wananchi mkiomba.
Aisee kama hujanywa chai vizuri kabla hujalisoma mwanahalisi asubui unaweza kuparalise japo ufisadi huo hukufanya wewe! Habari zao ni moto tanzania nzima hamna tena.