Jile79
JF-Expert Member
- May 28, 2009
- 17,668
- 13,237
sijui tumfanye nini mtu km makamba?................watz mnakubali nchi iendelee kuendeshwa kihuni hivi?..........mimi nasema no......
Mwanaume suruali huyu vipi, miaka 3 ndio linakurupuka leo baada ya kuingizwa mtegoni na CCM, CCM hawatakulinda na kukuweka hotelini siku zote za maisha yako soon wakimaliza kukutumia watakuacha na kwenye makabrasha yao wewe unasomeka kama expendable.
Utakufa kifo kibaya!