Zak Malang
JF-Expert Member
- Dec 30, 2008
- 5,404
- 234
- Thread starter
- #41
Hivi ni kweli NEC inabandika orodha ya majina katika vituo ikijua fika kwamba orodha hiyo ni fake? Jamani CDM, hebu changamkieni hili haraka sana. Naam, naamini kabisa usemi kwamba Siku za mwizi ni arobaini. Na hizo sasa ndiyo zimefika.
NEC - you just cant fool all the people all the time, hata kama ni Wadanganyika!
NEC - you just cant fool all the people all the time, hata kama ni Wadanganyika!