Mmongolilomo
Senior Member
- Feb 25, 2008
- 138
- 10
Naamini hiyo nyumba ni kati ya zile zilizouzwa na serikali kwa wafanyakazi wake kwa hiyo kama kapora basi pamoja na kiwanja kingine. Lakini km ndio hivyo mbona wapo wengi hapa ndipo hoja ya Pr.Safari ya kurudisha nyumba zote zilizouzwa kwa watumishi wake na mahawara zao ina kuwa ya msingi si kikwete tuu wapo wengi waliojipendelea nyumba za serikali.