MwanaHalisi hacked?

Mdau

JF-Expert Member
Mar 29, 2008
1,789
470
nimeikuta hii kwenye website ya gazeti la mwanahalisi....sijui wadu mnasemaje? nahisi kama some sort of uchochezi vile!!

attachment.php
 

Attachments

  • FIX-EM.gif
    FIX-EM.gif
    24.5 KB · Views: 300
Last edited by a moderator:
nimeikuta hii kwenye website ya gazeti la mwanahalisi....sijui wadu mnasemaje? nahisi kama some sort of uchochezi vile!!

Ile thread yangu ya "JK-Msijali kuitwa mafisadi" sasa itawaingia wengi!
 
Gazeti la Mwananchi sasa ni wiki ya pili halipatikani mtandaoni. Naona mafisadi wameamua kufanya kila njia ili magazeti yanayoandika habari za ufisadi yasipatikane mtandaoni.
 
Ok, sasa kazi ipo. Mafisadi nao wamechachamaa na kublock mitandao (mwananchi na sasa Mwanahalisi).
 
Kwa hali hii iliyotokea kwa MwanaHalisi, kitaalam inaitwa 'Defacing' yaani wamebadilisha 'index' file ya main website.

Huyo system administrator anayemanage hiyo server ya mwanahalisi website, hajaconfigure vizuri server yake. Defacing attack kwenye website hutokana na uzembe wa system administrator.

Wanachotakiwa hao mwanahalisi ni kubadilisha tu hiyo index file ya website yao kama ilivyo orginal hapo zamani. Basi watu tuone mtandao
 
Hii ni kama kucheza ule mchezo wa watoto wa kombolela. Mtu akiamua kujificha kweli humpati. Wanadhani wanaweza kucheza na nguvu ya umma. Si ndio wenye nchi, na mwisho wa siku sisi ndio wenye maamuzi yanayohusu mustakabali wa nchi hii. Kufunga hizi websites does not help anything. Sana sana wanaongeza hasira zetu tu.
 
Kwa hali hii iliyotokea kwa MwanaHalisi, kitaalam inaitwa 'Defacing' yaani wamebadilisha 'index' file ya main website.

Huyo system administrator anayemanage hiyo server ya mwanahalisi website, hajaconfigure vizuri server yake. Defacing attack kwenye website hutokana na uzembe wa system administrator.

Wanachotakiwa hao mwanahalisi ni kubadilisha tu hiyo index file ya website yao kama ilivyo orginal hapo zamani. Basi watu tuone mtandao

Mkuu Sakauye, umeongea kitalaam kabisa, we hope Mwanahalisi web manager itaipata hiyo na ile ya mwananchi vipi? wiki ya pili hii. Ushauri wako wa kiufundi unaweza kuisaidia mwananchi pia.

Hali hii inaonyesha kwamba impact ya habari za kwenye mtandao ni kubwa zaidi kuliko zile hard copy zinazouzwa Dar na mikoani. Hii ni changamoto kwa wamiliki wa magazeti kuimarisha mitandao yao.
 
na ile ya mwananchi vipi? wiki ya pili hii.

ile ya mwananchi was very serious case. ilikuwa 'cross site scripting (xss)'. yaani ilikuwa ukiifungua inakuja kama kawaida ila kuna images na contents ambazo hazikuwa za 'mwananchi' ila zinatoka website zingine. Hatari yake ilikuwa kwa visitors, wakiifungua ilikuwa inahatarisha information zao kuibiwa na hao wezi waliotega xss.

system administrator alivyoona vile ndo akaifunga. kinachoonekana sasa ni page halali aloweka system administrator wakati anaweka mambo vizuri. naamini itarudi hivi karibuni. alichokifanya system admin ni sahihi - kuiondoa kwanza ile site ya mwananchi.
 
Kwa hali hii iliyotokea kwa MwanaHalisi, kitaalam inaitwa 'Defacing' yaani wamebadilisha 'index' file ya main website.

Huyo system administrator anayemanage hiyo server ya mwanahalisi website, hajaconfigure vizuri server yake. Defacing attack kwenye website hutokana na uzembe wa system administrator.

Wanachotakiwa hao mwanahalisi ni kubadilisha tu hiyo index file ya website yao kama ilivyo orginal hapo zamani. Basi watu tuone mtandao

Watu wamekuwa waoga kweli kweli, kila kitu ni ufisadi hata pale ambapo ni uzembe wetu.

Administrators wa websites za magazeti na ofisi za TZ hawana ujuzi na wana uzembe mkubwa sana. Siku hizi kuna watu kazi zao ni kujaribu kila sehemu kuangalia websites zipi hazina kinga.

Wenye magazeti kuweni makini. Kwanza acheni kuweka mafiles yenu kwenye servers ambazo hazina kinga na pia hakuna 24*7 technical support. Siku hizi hosting costs ziko chini sana, hivyo ni bora hata kuongezea dola 10 kwa mwezi ili kupata kampuni ambayo muda wote inaangalia nini kinatokea kwenye networks zao.
 
Kuna ushahidi wowote kuwa yanayotokea kwenye website za magazeti ni kazi ya mafisadi?
 
Kuna ushahidi wowote kuwa yanayotokea kwenye website za magazeti ni kazi ya mafisadi?

Unfortunately that's what most JF members tend to believe. Kila kibaya kina mkono wa mafisadi. Its time we analyze our arguments before posting them here.
 
Hii ni kama kucheza ule mchezo wa watoto wa kombolela. Mtu akiamua kujificha kweli humpati. Wanadhani wanaweza kucheza na nguvu ya umma. Si ndio wenye nchi, na mwisho wa siku sisi ndio wenye maamuzi yanayohusu mustakabali wa nchi hii. Kufunga hizi websites does not help anything. Sana sana wanaongeza hasira zetu tu.

Lakini sasa wanajisahu kwamba kweli ni Kombolela lakini wanajificha nyuma ya Jiko la Mkaa.

Watachemshaaaa! Unaelewa ninachofurahi sasa kuna tabaka fulani la 1940's mpk late 1960's wengi wao ndio MAFISADI halafu Teknolojia imewakali kushoto ila sasa hili tabaka la Bongo flava ndio noma wanapekua kila kitu halafu hakuna uoga na naamini wanajua wanachokifanya yote ni kwaajili ya MASLAHI YA TAIFA.

Ninachosisitiza, wakubwa wahusika kama wanaona mambo magumu mbona Mamvi EL na BABA KOKU (TIBAIGANA) wameshaonyesha mifano mbadala ya maisha mengine mbali na haya sasa Kifisadi.
 
Watu Wa Magazeti Tanzania Wanatakiwa Wawe Na Content Management System Kampuni Nyingi Sana Zinatengeneza Hizi , Ukiwa Nayo Mfano Ya Habari Peke Yake Wewe Kazi Yako Ni Kuweka Picha Na Habari Tu Mengine Yote Yanafanywa Na Aliyetoa Hiyo Cms Muda Wote Na Wakati Wowote Wewe Chako Ni Pesa Tu

Kwanini Wasifanye Hivyo Haswa Hawa Wa Magazeti ?
 
Kuna ushahidi wowote kuwa yanayotokea kwenye website za magazeti ni kazi ya mafisadi?
Naweza kuwasaidia... Lakini hawa nao wawe serious! Kubenea nadhani humlipi mwendesha tovuti yako au kama unamlipa basi unapoteza hela tu. Huyu aliyekufanyia hacking ni mbongo tena anayejua mianya ya kufanya hivyo.

Toa hela usaidiwe kazi hiyo kirahisi tu. Ni kazi ya dakika kama 15 hivi kurejesha tovuti yako katika hali nzuri.

Invisible
 
I think the problem here ni kwa hao wanadai wanajua kufanya kazi au kuingilia kazi za wengine. wengi hawajui mechanism and why this happen or that happen till this happen wengi wanafanya kazi kwa mazoea na hata bila ujuzi. Computer field in general kwa Tanzania imeingiliwa sana na mamruki kila mtu anajifanya anajua kumputer especialy on wep page development.

For me kufahamu mechanism ni bora zaidi kuliko chochote let them go to school. na napenda kuwashauri also cheap labour in cost zaidi
 
Kubenea usinilet down Najua wewe ni mjanja ask that guy in ICT to put the fresh copy of index page from possibly last backup.

good day
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom