MwanaHalisi acheni ubabaishaji

Na Saed Kubenea

MABILIONI ya shilingi za walipa kodi, ambayo Edward Lowassa alishinikiza yalipwe kwa kampuni ya kutengeneza matairi ya General Tyre (GT), yameteketea.

Hakuna anayekataa mabilioni ya fedha za walipa kodi yamepotea kwasababu ya uzembe.Tatizo ninaloliona hapa ni kwa serekali kuacha kuchunguza waliosababisha upotevu wa fedha za wananchi.Ikumbukwe fedha hizi zimeingizwa kama deni la serekali[taifa].


Taarifa kutoka kiwandani, mkoani Arusha zinasema kiwanda kimefungwa na haijulikani kitapata wapi na lini mtaji mwingine wa kukifufua.

Taarifa kutoka kiwanda kamwe huwezi kuzipata kwakuwa hakuna wa kukupa hizo taarifa,nashukuru umenisaidi kukiri kiwanda kimefungwa.

Lowassa, kabla ya kujiuzulu nafasi ya waziri mkuu, alishinikiza wizara ya fedha na mipango, chini ya Zakia Meghji, kutoa Sh. 10 bilioni kwa General Tyre ili "kulinda kiwanda hiki" kisifilisike.

Hapana huu ni uongo ambao tunapaswa kuukata mchana kweupe kwasababu fedha zilishatolewa mwaka 2005 wakati huo Zakia meghji alikuwa wizara ya maliasili na utalii.Mheshimiwa E Lowassa aliagiza General Tyre ipatiwe tena mkopo mwingine wa tsh 3.3 bilioni hiyo ilikuwa mwaka 2007,lakini Mheshimiwa Z maghji alikataa baada ya kubaini fedha za mwanzo zilitumika vibaya.

Hivi sasa suala hili liko mezani kwa Waziri Mkuu Mizengo Pinda ambaye General Tyre inaomba "akubali" kuwa fedha zilizotolewa zilitumika vizuri, kinyume cha taarifa ya maodita waliopitia hesabu za kampuni hiyo.

Hapana hakuna ukaguzi uliofanyika wa maana uliofanyika,TAC walitumwa kufanya ukaguzi lakini walishindwa kwasababu data nyingi za mahesabu ya General Tyre zimehifadhiwa kwenye Computers,wakati huo umeme ulikuwa umekatwa pia wafanyakazi wengi wa idara ya Accounts walishaacha kazi.Kilichofanyika TAC walichukua baadhi ya nyaraka tu na kuondoka.

 
Na Saed Kubenea

MABILIONI ya shilingi za walipa kodi, ambayo Edward Lowassa alishinikiza yalipwe kwa kampuni ya kutengeneza matairi ya General Tyre (GT), yameteketea.

Hakuna anayekataa mabilioni ya fedha za walipa kodi yamepotea kwasababu ya uzembe.Tatizo ninaloliona hapa ni kwa serekali kuacha kuchunguza waliosababisha upotevu wa fedha za wananchi.Ikumbukwe fedha hizi zimeingizwa kama deni la serekali[taifa].


Taarifa kutoka kiwandani, mkoani Arusha zinasema kiwanda kimefungwa na haijulikani kitapata wapi na lini mtaji mwingine wa kukifufua.

Taarifa kutoka kiwanda kamwe huwezi kuzipata kwakuwa hakuna wa kukupa hizo taarifa,nashukuru umenisaidi kukiri kiwanda kimefungwa.

Lowassa, kabla ya kujiuzulu nafasi ya waziri mkuu, alishinikiza wizara ya fedha na mipango, chini ya Zakia Meghji, kutoa Sh. 10 bilioni kwa General Tyre ili “kulinda kiwanda hiki” kisifilisike.

Hapana huu ni uongo ambao tunapaswa kuukata mchana kweupe kwasababu fedha zilishatolewa mwaka 2005 wakati huo Zakia meghji alikuwa wizara ya maliasili na utalii.Mheshimiwa E Lowassa aliagiza General Tyre ipatiwe tena mkopo mwingine wa tsh 3.3 bilioni hiyo ilikuwa mwaka 2007,lakini Mheshimiwa Z maghji alikataa baada ya kubaini fedha za mwanzo zilitumika vibaya.

Hivi sasa suala hili liko mezani kwa Waziri Mkuu Mizengo Pinda ambaye General Tyre inaomba “akubali” kuwa fedha zilizotolewa zilitumika vizuri, kinyume cha taarifa ya maodita waliopitia hesabu za kampuni hiyo.

Hapana hakuna ukaguzi uliofanyika wa maana uliofanyika,TAC walitumwa kufanya ukaguzi lakini walishindwa kwasababu data nyingi za mahesabu ya General Tyre zimehifadhiwa kwenye Computers,wakati huo umeme ulikuwa umekatwa pia wafanyakazi wengi wa idara ya Accounts walishaacha kazi.Kilichofanyika TAC walichukua baadhi ya nyaraka tu na kuondoka.

 
General Tyre inaomba pia serikali iongeze fedha nyingine, juu ya mabilioni ambayo matumizi yake hadi sasa bado ni utata mtupu.
Kwa mujibu wa barua ya Katibu wa Lowassa wakati huo, B. Olekuyan kwa Katibu wa Meghji, Kumb. Na. PM/P/I/567/40 na iliyobeba kichwa cha maneno, "General Tyre East Africa LTD Arusha,"
Lowassa aliagiza kama ifuatavyo:
"Tuliishaliamulia suala hili kwamba wapewe government guarantee kulinda kiwanda hiki, mkopo wa awali na ajira za Watanzania. Kama WF (waziri wa fedha) ana maoni tofauti alete kwenye kikao. Vinginevyo atekeleze kabla ya tarehe 15/7/2007."



Katika barua hiyo, ambayo katibu wa Lowassa alikuwa anapeleka pia kwa waziri wa viwanda biashara na masoko, wakati huo Basi Mramba, anaelekeza nakala yake ipelekwe kwa mawaziri wote wanaohusika ili wajue msimamo wa waziri mkuu.
Taarifa zinasema Mramba na Lowassa waliafikiana serikali itoa fedha kwa GT, kwa mujibu wa barua ya 28 Juni 2007 iliyotoka kwa Mramba kwenda kwa Meghji.
Naye Mramba anajenga hoja ya kutolewa kwa fedha hizo haraka na bila masharti. Anaonya kwamba kuchelewa kutekeleza agizo la Lowassa kutasababisha kiwanda kufungwa.
"Ushauri wangu kwako (Meghji) ni kwamba ujitahidi kuweka dhamana kwa ajili ya fedha hizo za NSSF haraka iwezekanavyo. Kama fedha zikikosekana, kiwanda hicho chaweza kufungwa," inasema barua hiyo ya Mramba kwa Meghji.
Hata hivyo, pamoja na kutolewa kwa mabilioni hayo ya shilingi, kiwanda hicho kimefungwa mwaka jana.


Bila shaka mkopo unaozungumzia ni mkopo wa pili wa tsh 3.3 bilioni ambao nilisha sema haukutoka kabisa na sababu za kutokutolewa pia nimeshazielezea.


Aliyekuwa mwenyekiti wa bodi ya wakurugenzi ya kiwanda hicho, William Shelukindo, mbunge wa Bumbuli (CCM), amethibitishia gazeti hili kuwa kiwanda kimefungwa pamoja na mabilioni ya shilingi yaliyomwagwa humo.
Hata hivyo mabilioni hayo ya shilingi yameghubikwa na utata. Nyaraka ambazo gazeti hili limepata zinaonyesha kuwa siyo fedha zote zilizopelekwa kiwandani Arusha.

Ni kweli fedha nyingi ziliishia mikononi mwa walioidhisha mkopo.Kwanza fedha zilikuja kwa mafungu mafungu kiasi kwamba bajeti iliyoandaliwa nayo ilibidi kubadilika mara kwa mara kutegemeana na fedha zilizoingia kwanye a/c ya kampuni.
Nyaraka zinaonyesha kuwa Sh. 1 bilioni zililipwa kwa kampuni ya ukaguzi ya DAI Consulting kutoka nchini Afrika Kusini. Kampuni ya DAI ilipewa fedha hizo na NSSF kama gharama za ushauri kwa GT.

Kwa mujibu wa nyaraka tulizoziona kampuni ya DAI makao makuu yake yako Marekani.Hii kampuni kwa asilimia kubwa haipo kabisa,bila shaka wakubwa walibuni mbinu za kutafuana fedha kwanjia ambayo itaondoa shaka.Zipo sababu nyingi zinazonifanya niamini hivyo,

[1] Hakuna mtaalamu yoyote wa DAI aliyewahi kufika General au kuonana na kiongozi yoyote wa kampuni kwaajili ya ushauri.

[2]Hakuna documents zozote za General Tyre zilizowahi kutumwa DAI kwaaajili ya kutengeneza business plan.

[3]Documents kwaajili ya malipo DAI haikuwa na fax,email,box na Tel no.Kwa kweli ilionekana kama nyaraka iliyotengenezwa mtaani.Kumbukumbu zangu wakati tulielezwa makao makuu ya DAI yako marekani leo nashangaa kusikia makao makuu ya DAI yako S/Afrika.

Lakini GT inalalamika, katika barua yake kwa Pinda, kuwa malipo ya Sh. 1 bilioni zilizotolewa kwa DAI Consulting ni fedha nyingi ikilinganishwa na kazi iliyofanyika.

Hakuna kazi iliyowahi kufanywa na DAI,huo ulikuwa ni wizi wa mchana kweupe.


 
Meneja Mkuu wa GT, Deven Lohani, raia wa Nepal, katika barua yake ya 17 Agosti 2009 kwa Waziri Mkuu Pinda, anaorodhesha malalamiko kuhusu usahihi wa matumizi ya mabilioni hayo.
Hata hivyo, kampuni ya matairi inasema haikuwa na njia nyingine ya kupinga malipo hayo kwa kuwa hiyo ilikuwa sehemu ya mkataba wa kupewa fedha hizo na NSSF. Kampuni ya DAI iliteuliwa na NSSF, inasema GT.
"…Ni muhimu kufahamu kwamba kampuni ya DAI Consulting ilipendekezwa kwetu na NSSF. Katika kipindi hicho GT ilikuwa na matatizo makubwa ya kifedha na ililazimika kukubali sharti hilo," inasema sehemu ya barua ya GT kwenda kwa Pinda.
Meneja Lohani ameeleza kuwa tatizo kubwa lilikuwa ni kiasi hicho kutolewa kwa mafungu-mafungu na si kwa jumla kama ilivyokuwa ikitarajiwa.
Shellukindo, hata hivyo, aliliambia MwanaHALISI kuwa kwa kadri anavyofahamu, nyingi ya fedha zilizotolewa kwa ajili ya kuifufua GT, zilitumika kwa ajili ya kulipa madeni mbalimbali yaliyokuwa yakiikabili kampuni hiyo.

Bwana Devendra Lohani ni mwongo anajua kwa undani kabisa fedha zote zilivyotumika.Voucher na attachment ya kulipa DAI alikataa kuitoa kwa TAC hata baada ya kushauriwa kuitoa na Kassegenya authorised Accountant & Auditor alieteliwa baada ya kuwakimbia Ernest & Young.Mpaka leo documents zote za DAI anazo Bwana Lohani

"Siwezi kusema kwa hakika ni kiasi gani kilitolewa na serikali katika kuifufua GT. Nilicho na uhakika nacho ni kuwa fedha nyingi zilitumika kulipa madeni ya kampuni," alisema Shellukindo.
Kwa kauli ya Shellukindo, Sh. 10 bilioni zilizotolewa na NSSF kwa udhamini wa serikali hazikutumika kufanya kazi iliyokusudiwa.

Mheshimiwa Shelukindo hana uhakika na anachokisema kwakuwa hapakuwa na ukaguzi kwa kipindi chote General Tyre ilipopewa mkopo.


Source: Mwanahalisi[/QUOTE]
 
janjaweed na nanu. Wote story yenu ni 'Mwanahalisi huwa ni personal attacker tu'
Who has been personally attacked bila reason?
1. Lowassa - Richmond
2. Rostam - Dowans
3. Balali - EPA
4. Idrisa - Dowans and 600million house
5. JK - mismanagement of state
6. Karamagi - Buswagi na Ticts
7. Chenge - Radah, plane, contracts
8. etc
Aren't these issues of national interest? Show they not mention waovu eti Janjaweed na Nanu watasema ni personal attacts.
You are being shallow minded guys. I thought you were intelligent enough to see that the paper is only exposing ufisadi na mafisadi. Which side are you on?
Pity Tz. With such folks, sijui kama tutaenda.

Can you remind me of any news that shows JK is mismanaging country that was published by mwanahalisi, please!

all those scandals were only published by mwanahalisi only?
 
Back
Top Bottom