Ngongo
JF-Expert Member
- Sep 20, 2008
- 18,921
- 31,161
- Thread starter
- #21
Wewe bana acha kutuletea longolongo hapa, mwandishi amesema kabisa ana barua za mawasiliano kati ya EL na na Bazil Mramba zinavyoonyesha jinsi mikakati ya dili ilivyokwenda pamoja na tarehe za 2007 wewe unaleta longolongo humu. Umetumwa umsafishe Lowassa nini?
Heshima Mzittokabwela,
Soma tena bandiko langu vizuri utaelewa ni kwanini nawaambia Mwanahalisi & Co waache ubabaishaji.Sijakataa kuwepo mawasiliano baina ya Lowassa na Mramba,kama kweli hayo mawasiliano yapo basi yatakuwa yanazungumzia mkopo mwingine wa u$ 3 milioni mzee.Mkopo wa u$ 10 milioni ulitoka mwaka 2005 na si 2007 kama mawanahalisi wanavyotaka kutudanganya.Mawasiliano baina ya Lowassa na Mramba yalifanyika wakati tayari mkopo wa tsh 13.2 zilishatolewa na kumalizika bila uzalishaji wa maana kufanyika.Pia Mramba alishaondoka wizara ya fedha na kuhamia wizara ya viwanda na biashara.
Mawasiliano baina ya Lowasa na Mramba yalihusu mkopo mwingine wa u$ 3 mil ambao kama ungetoka Bi Meghji angehusika kwasababu wakati huo alikuwa waziri wa fedha.