omar dauda
Member
- Feb 22, 2019
- 11
- 1
Pia also labda kama naeza shaurwa advanc ndo kuzur ila kwa sababu za msing pia au chuo nako kwa sabab ctk kkrpk
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Neno maana lina maana ya kutoa maana.mimi naomba nipate maana ya maana
asanteni
Kwa maswali ya geographhistory njoo kwangu
Kw mathematics hkuna ktabu kilichokamilika kila ki2 kw syllabus ya Tanzania.. Kila kitabu kina mapungufu. Km una uwezo nunua chand na pure kw p1Walimu wa Physics, Chemistry and Mathematics naomba msaada.
Mwanangu anaesoma pre-form five amepewa list ya vitabu anunue lakini kwa upande uwezo mdogo hivyo nataka kununua kimoja katika kila somo. Niambieni kitabu kizuri katika kila somo.
PHYSICS:
1. Nelkon
2. Tom Duncan
3. Chandi
4. Roger Munchestel
CHEMISTRY:
1. Abort
2. Ramsdern
3. Chandi
MATHEMATICS:
1. Pure Maths 1&2
2. Core Maths
3. Chandi
Msaada tafadhali.
Sent using Jamii Forums mobile app
Aende advance HKLwadau mi naomben msaadakuna mdog wang an pass mark izo anawez kwenda chuo gani?. Civics D, Geography D, Bios D, Math D , Chemistry C , History C, Kiswahili C ,English C,. je anawez kupata chuo gan kizuri au advance anawez kwenda private kupitia CBG.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kiongozi habari, nina mdogo wangu yupo PGM form 5 naomba kupata notes zitakazoweza msogeza kimasomo.Kwa physics chemistry and mathematics for form one up to form six waniulize mimi
Brother NAOMBA UNISAIDIEFor physics & biology all levels.....nicheki
Naomba kujua maana ya neno DHAIFUKwa maswali ya Kiswahili nipo hapa, kuanzia kidato cha kwanza hadi kozi zote za Kiswahili kwa mwaka wa kwanza Chuo Kikuu.
"KISWAHILI KWA MAENDELEO YA TAIFA LETU"
CC spika
Hahahahah kwa mujibu wa KAMUSI YA KISWAHILI SANIFU, Toleo la Pili-2014 Ukurasa wa 62. DHAIFU(Kivumishi) 1. -enye kudhoofu; -enye unyonge; legevu 2. -enye ubaya; (nomino) "dhuli" likiwa na maana mbili 1.Mtu dhaifu au aliyeteseka 2.Jambo lenye kukatisha tamaa.Naomba kujua maana ya neno DHAIFU
Sent using Jamii Forums mobile app
Brother NAOMBA UNISAIDIE
Et why hot food has lather than cold food?
Sent using Jamii Forums mobile app