Mwanafunzi, weka swali linalokusumbua ili walimu na wazoefu wakusaidie

Walimu wa Physics, Chemistry and Mathematics naomba msaada.
Mwanangu anaesoma pre-form five amepewa list ya vitabu anunue lakini kwa upande uwezo mdogo hivyo nataka kununua kimoja katika kila somo. Niambieni kitabu kizuri katika kila somo.
PHYSICS:
1. Nelkon
2. Tom Duncan
3. Chandi
4. Roger Munchestel

CHEMISTRY:
1. Abort
2. Ramsdern
3. Chandi

MATHEMATICS:
1. Pure Maths 1&2
2. Core Maths
3. Chandi

Msaada tafadhali.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Walimu wa Physics, Chemistry and Mathematics naomba msaada.
Mwanangu anaesoma pre-form five amepewa list ya vitabu anunue lakini kwa upande uwezo mdogo hivyo nataka kununua kimoja katika kila somo. Niambieni kitabu kizuri katika kila somo.
PHYSICS:
1. Nelkon
2. Tom Duncan
3. Chandi
4. Roger Munchestel

CHEMISTRY:
1. Abort
2. Ramsdern
3. Chandi

MATHEMATICS:
1. Pure Maths 1&2
2. Core Maths
3. Chandi

Msaada tafadhali.


Sent using Jamii Forums mobile app
Kw mathematics hkuna ktabu kilichokamilika kila ki2 kw syllabus ya Tanzania.. Kila kitabu kina mapungufu. Km una uwezo nunua chand na pure kw p1

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom