paul green
Member
- Jan 16, 2019
- 18
- 17
kwa MATHEMATICS/HISABATI nipo hapa.
karibu
karibu
Matokeo hayo kwa mtoto wa kike sawa atachaguliwa tena second selection ila kwa boy atasubili Sana labda chaguo la 3 maana serekal Sasa inafanya hivyosamahani kama natoka nje ya mada kuna mdogo wangu ana dv.3 25 na anamatokeo history C kiswahili C english B civics D geography D biology D mathematics F. Je anaweza kwenda advance ya serikali akapangiwa shule?
Jamani naomba mnisadieSamahani wakuu, mimi ni mwanafunzi niliyehitimu form four mwaka jana2018.. nilikuwa naomba kuulizia kwamba... inawezekana mtu aliyepata Division one kupangiwa vyuo vya afya na Tamisemi.....ingawa ni yeye ndiye aliyechagua kwenye selform
Wakuu katika kupitia nyuzi mbalimbali humu nimegundua hili jukwaa lina wanafunzi wengi sana hasa kidato cha 5 au chini ya hapo pia wanavyuo
Hivyo basi ni vyema walimu na watu wenye uzoefu tuwasaidie hawa watu ili wafanye vyema ktk masomo yao kwa wenye nia njema, jukwaa hili ni muhimu na tukilitumia tukainua ufaulu wa ndugu zetu tutaongeza Tanzania njema yenye wasomi bora.
karibuni, mimi tupia swali la linguistics/language 1&2 (kwa A-level) au english kwa O - level na Geography.
Walimu wazuri na Wataalam wengine watajitajitokeza ukirusha swali lolote.
Mkuu naweza pata notes za adv pure math. Nina mdg angu anaenda f5 nataka nimpe a b c lkn notes sina.kwa MATHEMATICS/HISABATI nipo hapa.
karibu
Kinachosababisha ni Mambo mawiliNaomba kuuliza NINI KINASABABISHA MAJI KUPWA NA KUJAA?na YAKIJAA yanatokea wapi?na yakipwa yanakwenda wapi?msaada PLZ
Sent using Jamii Forums mobile app