Ng'wanamalundi
JF-Expert Member
- Feb 4, 2008
- 1,165
- 1,361
Asante kwa kusahihisha 'typo' hiyo. Nilimaanisha 'ambazo'. Anyway, that's trivial. Turudi kwenye substantive issue under discussion."amazo" ndo nini
Asante kwa kusahihisha 'typo' hiyo. Nilimaanisha 'ambazo'. Anyway, that's trivial. Turudi kwenye substantive issue under discussion."amazo" ndo nini
Hakuna Uhuru wa namna hii ChiefWamsamehe tu,hii sheria huko mbeleni inabidi wake waifute,Uhuru wa kutoa maoni Hapa unakiukwa,kila mtu anajua takwimu rasmi Ni zipi na kila mtu anafuatilia taarifa rasmi kwa umakini Sana,
Si wanasema whatsp iko safe sasa wamejuaje details za mtumiaji mpaka kujua alipo?
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha uzembe wa kuwaza na ushabiki. Serikali inatoa taarifa zake kila mara kupitia wizara ya afya na PM, sasa hizo za kwake ataenda thibitisha mahakamani na ataonesha makaburi na vyeti vya kifo kwa hao watu wanne vikiwa na sababu ya kifo kuwa koronaTaarifa sahihi ni ipi? Askari wamejuaje kuwa hio taarifa sio sahihi? Je, ilileta madhara gani kwa jamii?
Hawa huwa wanatekeleza tu wanachoambiwa. Hakuna ku hojiTaarifa sahihi ni ipi? Askari wamejuaje kuwa hio taarifa sio sahihi? Je, ilileta madhara gani kwa jamii?
Si wanasema whatsp iko safe sasa wamejuaje details za mtumiaji mpaka kujua alipo?
Sent using Jamii Forums mobile app
Imeleta taharuki, si sahihi kwa sababu idadi sahihi ilishatangazwa na waziri wa Afya, ni 32, au 230 ni sawa na 32?Taarifa sahihi ni ipi? Askari wamejuaje kuwa hio taarifa sio sahihi? Je, ilileta madhara gani kwa jamii?
Kwa kuwa wao serikali hawana takwimu kwa sasa, hizo za msomi (wanayemtumu) ni kweli.Waziri mwenyewe kasema za ukweli tutaanza kuzipata kuanzia juma tatu..
Sent using Jamii Forums mobile app
Wale waliyopona na wengine kufa nao pia wanaingia kwenye idadi hiyo ya wagonjwa 32?Imeleta taharuki, si sahihi kwa sababu idadi sahihi ilishatangazwa na waziri wa Afya, ni 32, au 230 ni sawa na 32?
Wamsamehe tu,hii sheria huko mbeleni inabidi wake waifute,Uhuru wa kutoa maoni Hapa unakiukwa,kila mtu anajua takwimu rasmi Ni zipi na kila mtu anafuatilia taarifa rasmi kwa umakini Sana,
Kwani hiyo sheria imeshuka toka mbinguni,We jamaa bana! Yaani akifanya kosa akikamatwa ni udikteta. Umsahau kuna sheria ya makosa ya mtandao?