Juniourpaul
New Member
- Dec 17, 2021
- 2
- 3
Mimi ni mwanafunzi wa sheria mwaka wa kwanza mnanishauri nisome vitabu gani ambavyo vitanisaidiaa?
KATIBA YA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIAMimi ni mwanafunzi wa sheria mwaka wa kwanza mnanishauri nisome vitabu gani ambavyo vitanisaidiaa?
Laws of contract by Prof nduguMimi ni mwanafunzi wa sheria mwaka wa kwanza mnanishauri nisome vitabu gani ambavyo vitanisaidiaa?
Prof nditiLaws of contract by Prof ndugu
Mwaka wa kwanza na Company's Act wapi na wapi? Soma Katiba, Glanville Williams "Path of the law", Makaramba ~ "Legal Method in Tanzania" vingine vitakuja kadiri muda unavyopita.Business law Soma snaa hvyo vitabu na company act 2000 utakuja nishukuru baadae
Tafita prospectal ya chuo ulichopo kikupe mwongozoMimi ni mwanafunzi wa sheria mwaka wa kwanza mnanishauri nisome vitabu gani ambavyo vitanisaidiaa?