Mwanafunzi wa sheria mwaka wa kwanza nisome vitabu gani ambavyo vitanisaidia?

Business law Soma snaa hvyo vitabu na company act 2000 utakuja nishukuru baadae
Mwaka wa kwanza na Company's Act wapi na wapi? Soma Katiba, Glanville Williams "Path of the law", Makaramba ~ "Legal Method in Tanzania" vingine vitakuja kadiri muda unavyopita.
 
Back
Top Bottom