B.G TANTAWI
JF-Expert Member
- Jul 3, 2013
- 495
- 375
Mwanafunzi wa SAUT jana linahifadhiwa amefanyiwa operation baada ya kunywa DAWA kali inayodhaniwa ni ya kurefusha Uume wake, baada ya kutumia dawa hiyo ndipo mpenzi wake hakutokea na kwa maelezo ya madaktari ni kunywa alitumia dawa nyingi sana, kwa siku tatu mfululizo Uume wake ulikuwa umesimama sana, ndipo akabidi apelekwe Hospitali ya Bugando, madaktari wa Bugando walipompokea walimpigia mkuu wao wa idara ili kupata ushauri wake wa nini cha kufanya, Baada ya mkuu wa idara kufika na kumuona mgonjwa na kupata maelezo yao yeye akawauliza "Mnasubiri nini kumfanyia operation"? kateni mishipa!! ndipo mara moja mwanafunzi huyo akakatwa mishipa yake ya uzazi.
Hivyo kwa mujibu wa madaktari, kijana huyu hatakuwa na uwezo wa kupata mtoto wala kushiriki tendo la ndoa.
Madaktari wamesema kuwa, kisayansi, hakuna mwanaume anayeweza kumridhisha mwanamke zaidi ya yeye mwenyewe kuumia tu.
Hivyo kwa mujibu wa madaktari, kijana huyu hatakuwa na uwezo wa kupata mtoto wala kushiriki tendo la ndoa.
Madaktari wamesema kuwa, kisayansi, hakuna mwanaume anayeweza kumridhisha mwanamke zaidi ya yeye mwenyewe kuumia tu.