Mwanafunzi wa kiume SAUT afanyiwa Operation.

B.G TANTAWI

JF-Expert Member
Jul 3, 2013
495
375
Mwanafunzi wa SAUT jana linahifadhiwa amefanyiwa operation baada ya kunywa DAWA kali inayodhaniwa ni ya kurefusha Uume wake, baada ya kutumia dawa hiyo ndipo mpenzi wake hakutokea na kwa maelezo ya madaktari ni kunywa alitumia dawa nyingi sana, kwa siku tatu mfululizo Uume wake ulikuwa umesimama sana, ndipo akabidi apelekwe Hospitali ya Bugando, madaktari wa Bugando walipompokea walimpigia mkuu wao wa idara ili kupata ushauri wake wa nini cha kufanya, Baada ya mkuu wa idara kufika na kumuona mgonjwa na kupata maelezo yao yeye akawauliza "Mnasubiri nini kumfanyia operation"? kateni mishipa!! ndipo mara moja mwanafunzi huyo akakatwa mishipa yake ya uzazi.

Hivyo kwa mujibu wa madaktari, kijana huyu hatakuwa na uwezo wa kupata mtoto wala kushiriki tendo la ndoa.

Madaktari wamesema kuwa, kisayansi, hakuna mwanaume anayeweza kumridhisha mwanamke zaidi ya yeye mwenyewe kuumia tu.
 
Hawajaenda kusoma ila mapenzi ndio kauli mbiu sasa nasikiaga mwanza kuna machangu mengi sangeenda kununua
 
SAUT napo huwa wanavijihistoria.....nmekmbka yule alooza sehem nyeti........ Haya kweli majanga ya snura
 
mmh! Hivi kumbe hata dawa ya kurefusha mpini lazima mpenzi atokee!!! Halaf DEMBA umeskia madaktari walichosema eee haya sasa Kaizer usipate tabu tena.
 
Last edited by a moderator:
Mwanafunzi wa SAUT jana linahifadhiwa amefanyiwa operation baada ya kunywa DAWA kali inayodhaniwa ni ya kurefusha Uume wake, baada ya kutumia dawa hiyo ndipo mpenzi wake hakutokea na kwa maelezo ya madaktari ni kunywa alitumia dawa nyingi sana, kwa siku tatu mfululizo Uume wake ulikuwa umesimama sana, ndipo akabidi apelekwe Hospitali ya Bugando, madaktari wa Bugando walipompokea walimpigia mkuu wao wa idara ili kupata ushauri wake wa nini cha kufanya, Baada ya mkuu wa idara kufika na kumuona mgonjwa na kupata maelezo yao yeye akawauliza "Mnasubiri nini kumfanyia operation"? kateni mishipa!! ndipo mara moja mwanafunzi huyo akakatwa mishipa yake ya uzazi.

Hivyo kwa mujibu wa madaktari, kijana huyu hatakuwa na uwezo wa kupata mtoto wala kushiriki tendo la ndoa.

Madaktari wamesema kuwa, kisayansi, hakuna mwanaume anayeweza kumridhisha mwanamke zaidi ya yeye mwenyewe kuumia tu.

Hii story ilivyokaa ina maswali mengi sana ... Mshipa wa uzazi ndo upi..?! Anayetoa ruhusa ya operation ni mkuu wa idara bila hata ya mzazi.. ?!?! etc...
Paragraph ya mwisho ndo haieleweki kabsa!
 
Story ya kijiweni tu hii.

Priapism na mishipa ya uzazi wapi na wapi? By the way, mishipa ya uzazi ndio nini?

Hizi ni habari za njiani ambazo kila mtu anaweza kuzisema. Ni mishipa gani iliyokatwa? Ingekuwa hivyo wale wa sickle cell wote wangekuwa hawana penis
 
Mwanamke akiamua kukuliza anakuliza tuuuu...waliahidiana kukutana...jamaa kaandaaa risasiiiiii..... Binti kaingia mitini...BIG RESULTS (kawa hanisi)

Nadhani vijana wengi wana tatizo la kutokuwa na mbegu/manii ya kutosha...goli moja tu kwishneyyyy.....ndo wanaamua kutumia viagra
 
6 Reactions
Reply
Back
Top Bottom