Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,766
- 155,480
Kijana Kumbusho Dawson Kagine Amekamatwa kwa kosa la kutuma PICHA za hosteli za Magufuli za UDSM. Yupo kituo cha Polisi UDSM na anapelekwa Central!
UPDATE
Baada ya Kijana Kumbusho Dawson Kagine kukamatwa kwa kosa la kutuma PICHA za hosteli za Magufuli za UDSM. Yupo kituo cha Polisi UDSM na akupelekwa Central!
hatimaye ameachiwa kwa dhamana.
Hivi nikitaka kufichua uovu nikafichulie wapi ili nisikamatwe?