Mwanafunzi wa chuo kusoma miaka 3 bila kugoma ni dalili kuwa huelewi masomo au unaelewa kwa kukariri tu.

Kinoamiguu

JF-Expert Member
Nov 29, 2018
10,526
13,013
hapo zamani wanafunzi wa chuo hasa UDSM Ilikuwa ni ngumu tena haikuwezekana kusoma mwaka mzima bila kigoma! haikuwezekana kabisa. mambo yalianzia rev.squire. watu waligoma kushinikiza. mwaka, 2001 wazir mkuu wa Daruso alikiwa zzk pale mlimani palitokea wanafunzi wa sociology 201 kukosa nafasi japo walidahiliwa timbwili lake ilibidi warudishwe.nakumbuka zzk alikuwa akimpigia ng"wandu simu waziralitetemeka na kuja chuo haraka.
mwaka mmoja tulichagua raisi bwana kayombo tukamtoa ndio akaibuka bwana mwita waiitara (msaliti wa ukonga)
ilipoanzishwa HSLB palichimbika na madhara ya hii kitu leo wote tunaugulia.
najiuliza vijana wa siku hizi wanashindwa nn? kijana anasoma miaka mitatu bila kugoma anaelewa kweli huyu?
usipogpma chuo kugomea kazini?
migomo iliwaleta pamoja na kuistua serikal. mfano ukosefu wa ajira kwa wahitimu
chuo bila mgomo ni sawa na primary tu
 
stress ni nyingi kwa wadogo zetu kazi pia akigoma akifukuzwa chuo what next na unakuta mtoto wa mkulima (kipato cha chini) no second chances
 
a
Stupidity
Wagome bila sababu?
sheetan wewe .wanamaliza form 6 wangapi,wanafaulu wangapi kwenda chuo mikopo wanapata wangapi na kwann wachache wakati wazazi wao wanaitwa wanyonge hata kulipiwa ada primary 2 form four? amma hujui kwann wanagoma usijibu ujinga hapa
 
a
sheetan wewe .wanamaliza form 6 wangapi,wanafaulu wangapi kwenda chuo mikopo wanapata wangapi na kwann wachache wakati wazazi wao wanaitwa wanyonge hata kulipiwa ada primary 2 form four? amma hujui kwann wanagoma usijibu ujinga hapa
Duh sio kwa hasira hii uliyonayo, sidhani kama nikutokana na kutokuwepo migomo vyuoni nadhani kuna mtu amekukwaza sasa unatafuta watu wa kumalizia hasira kwao, pole Mkuu vumilia tu utashinda!
 
Kwani hata mtaani umesikia maandamano siku hizi??Kama mikutani ya kisiasa marufuku,bunge live marufuku....na hao wanaharakati waliokua chuo miaka hiyo wako mtaani huku..kwa nn wako kimya??Hii ni kwa wote..wote tumeufyata....
 
Unataka kusema hakuna changamoto siku hizi vyuoni??
Siku hizi watoto wanalipiwa ada na wazazi hawana muda wa mambo ya kipuuzi .Wanajali value for money .Wanajua wazazi wao wanavyohangaika kutafuta ada na pesa za matumizi ili wasome.Hivyo migomo na vitu vingine vya kijinga vyuoni hawana muda navyo.
 
nasikia siku hizi hapo mlimani hata 'mzee incognito' hayupo tena, yaani aisha salitiwa..................
kunji lilikuwa na raha yakee............
 
Hakuna kitu kitamu km migomo jaman ..!yaan rahaa .dadek zaje Jerry Muro enzi yupo Itv tuligoma..itv ikaja..shenzy zake akapewa bahasha .Mungu amlaani yule mwandishi Jerry muro
 
Fikra,matazamio na uelewa binafsi hubadilika kutoka kizazi kimoja kwenda kingine.
Hii trend ya migomo haijabadilika vyuoni tu hata wafanyakazi wa umma na trade unions zao siku hizi hawana muda wa kugoma.
Usilazimishe fikra zilizo prevail 1990's,2000's ziwe hai mpaka leo kwasababu mambo yanabadilika sana.
Wapanga sera na maadministrator wa hivyo vyuo sio wajinga hadi wasifanye chochote kuhakikisha wanadhibiti hali ya migomo vyuoni.
Pia hata akili za wanafunzi wa siku hizi zinabadilika,sio tena za kimapinduzi kama za miaka ile(na hii ina define jamii yote ya kitanzania kwa sasa)

Kusema tu kwamba wanafunzi wa sasa hivi ni wajinga kisa tu hawafanyi migomo bila kufuatilia trends ya mambo iliyopelekea hivyo ni kuwaonea bila sababu.

Fanya utafiti kwanini Student Activisim miaka ya hivi karibuni imedorola.
Usiegemeze lawama zako kwa wanafunzi tu moja kwa moja.
 
hapo zamani wanafunzi wa chuo hasa UDSM Ilikuwa ni ngumu tena haikuwezekana kusoma mwaka mzima bila kigoma! haikuwezekana kabisa. mambo yalianzia rev.squire. watu waligoma kushinikiza. mwaka, 2001 wazir mkuu wa Daruso alikiwa zzk pale mlimani palitokea wanafunzi wa sociology 201 kukosa nafasi japo walidahiliwa timbwili lake ilibidi warudishwe.nakumbuka zzk alikuwa akimpigia ng"wandu simu waziralitetemeka na kuja chuo haraka.
mwaka mmoja tulichagua raisi bwana kayombo tukamtoa ndio akaibuka bwana mwita waiitara (msaliti wa ukonga)
ilipoanzishwa HSLB palichimbika na madhara ya hii kitu leo wote tunaugulia.
najiuliza vijana wa siku hizi wanashindwa nn? kijana anasoma miaka mitatu bila kugoma anaelewa kweli huyu?
usipogpma chuo kugomea kazini?
migomo iliwaleta pamoja na kuistua serikal. mfano ukosefu wa ajira kwa wahitimu
chuo bila mgomo ni sawa na primary tu
Mgomo pia unategemea na aina ya uongozi wa chuo, Enzi ya prof Mmari UDSM palikuwa panachimbika, nikweli chuo bila mgomo ni primary tu, kama mtu unapewa maarifa halafu huyatumii, kuna haja gani ya kusoma sasa?
 
Back
Top Bottom