Mwanafunzi wa Chuo Kikuu anapocheza 'gemu' kwenye kompyuta!

mimi ni system administrator. muda wangu wa ziada nautumia kusoma vitabu na kwenda klabu.
Unaujua muda wa ziada wewe we kweli zwazwa aya husisha ulichojibu na kusisha na mwanafunzi kwahiyo mwanachuo yupo room kapunzika asome mitabu, anasubili lecture mtabu, anapunga upepo mtabu yaani unaandika uzwazwa tu
 
Kilichomchanganya ni computer!!!

Mbona ashangai wazee wetu kucheza ''bao'' na ''draft'' tena hadharani

Mimi kipindi ya chuo tnacheza uefa ligi na wana mpaka 12alfajr then saa 4asbh. Pindi kama kawa na sup tulikua tnazisikia kwa wasongo..

Na bumu likichelewa tnashnda kwa gemu tu kula saa 9usk mpaka kesho 9
 
Nilitarajia kuwaona labda wakicheza mpira, wakifanya jogging au wakiwa gym wanapiga mazoezi badala ya kushiriki michezo ya kitoto na isiyokuwa na tija katika ustawi wa afya zao za kimwili na kiakili.
Kwani anayepiga gym, mpila nk achezi game wewe mbona akili yako aina akili.
 
Mtoa mada wewe hujawai kugusa Chuo kikuu Hata kimoja na unafikili kuwa Chuo kikuu ni kusoma tu, hahahaaa.... Nimecheka sana inamaana hujui kuwa kunamagemu kuyacheza yanahitaji akili ya kiwango cha juu sana na yanatanua uwezo Wa ubongo wako? Wewe ni mshamba nenda pale hostel za main compass uds utakuta watu wanaangalia xxx bila Hata wasiwasi na JPA zao zinasoma 3.5 kwenda mbele.
Nimekaa sana Brock D hapo mabibo hostel mwaka Wa pili watu wanajua mpaka mastaa Wa xxx!!! We VP acha kukalili maisha ndugu yangu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi nilipokuwa chuo nilikuwa nacheza GAME sana nimecheza zuma revenge,need for speed,GTA San anderas,pro evolution soccer(pes),tom and jerry nk na misheni zote za GAME nilizimaliza na bado chuo nilisoma vizuri na nilifaulu vizuri

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwani anayepiga gym, mpila nk achezi game wewe mbona akili yako aina akili.
Usiweke mkokoteni mbele ya farasi wewe kikojozi. Subiri uwe mkubwa uende chuo kikuu halafu uendelee kucheza gemu zako kama hujaDISCO, blood fisi!!!
 
Leo asubuhi nimetembelea kule hosteli nikakutana na kituko kilichoniacha kinywa wazi.

Eti nimemkuta mwanafunzi wa Chuo Kikuu akicheza gemu kwenye kompyuta! Tumezoea kuwaona watoto wa chekechea wakiwa wamejazana kwenye mabanda wakicheza gemu lakini ni ajabu mwanafunzi wa Chuo Kikuu kumkamua mzaziwe fedha ili anunue laptop ya kuchezea gemu. Inasikitisha sana.

Na wakati huohuo uelewe kwamba mwanafunzi huyu amepata mkopo kwa 100% wakati kuna wenzake wamepata 0% au wamekosa kabisa nafasi ya masomo. Hata kama analipiwa na mzaziwe ni kwanini asimuonee huruma mshua wake kwa kujikamua fedha za kugharamia masomo yake?

Haya ndio matokeo ya Shule za Kata ambazo huwajaza ujinga wanafunzi hadi wanafika Chuo Kikuu wakiwa bado hawajitambui. Mwanafunzi huyu ni zao la shule za kata zilizobuniwa na serikali tukufu inayoongozwa na Profesa JK.

:yield:
Du! hata kama ni kukua kwa utandawazi, hii ni ngumu kumeza aisee!
 
Upo kwenye dunia yako peke yako......gaming ni industry kubwa sana
Kivipi mkuu? Sasa ndio mwanafunzi wa Chuo Kikuu acheze game kwa sababu hizi badala ya kutumia muda wake vizuri kujisomea?
 
Hii topic imerudi tena ? waacheni madogo wa enjoy....all work and no play makes Jack a dull boy
 
Kivipi mkuu? Sasa ndio mwanafunzi wa Chuo Kikuu acheze game kwa sababu hizi badala ya kutumia muda wake vizuri kujisomea?
Nyie ndo wale wasongo mliotumwa na kijiji...kwani akicheza game ndo umeambiwa hasomi??
 
Back
Top Bottom