yaan panaogopesha sana..na yote hayo yamesababishwa na boom
kwa sasa kutembea ucku peke yako kuna tisha huku..
acha hizo mdau!
Si ajabu ilikuwa ni ugomvi wa kugombea mwanamke ndiyo chanzo,maana hiyo kitu ni maarufu sana kwa wanafunzi wa vyuo vikuu tena hasa undergraduates!!Mungu ampumzishe kwa amani marehemu!!!
mazngra ya chuo co mazur coz wanafunz wanaish mbl na chuo afu hawa watoto wanacfa mbya sana kwa wakaz wa mwnza coz mabnt ni malaya sana vjana walev na wahun.
kuna agenda inaendelea chini ya carpet..maana siku mbili mfululizo watu wanauwawa vifo vya utata...who z next?